Dawa ya kupunguza unene

Dawa ya kupunguza unene

MAKANJAMNA

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
1,138
Reaction score
1,515
Kuna ndugu yangu wa karibu (binamu) anahangaika sana na unene.. anapata matatizo kwenye ndoa yake due to underperformance, anaomba ushauri wa jinsi ya kuupunguza mwili wake. kama ikiwezekana kwa njia ya dawa, coz mazoezi anadai yeye ni mvivu sana ( anataka Big Results Now).

so kama kuna uwezekano wa contacts au dawa mnayoijua wadau anaomba msaada..

nawasiliisha.

cc: mzizimkavu
 
Kuna dawa za vyakula vya forever living ambazo hatapunguza unene na kushangaa mwenyewe nitafute mtakupa namba kwa ajili ya kumkabidhi hizo product huyo ndugu yako tatizo lake litaisha soon au unaweza kunicheki 0688239954/0717115421
 
Kuna dawa za vyakula vya forever living ambazo hatapunguza unene na kushangaa mwenyewe nitafute mtakupa namba kwa ajili ya kumkabidhi hizo product huyo ndugu yako tatizo lake litaisha soon au unaweza kunicheki 0688239954/0717115421


akate viroba kwa wingi na konyagi coz inapunguza hamu ya kula
 
Back
Top Bottom