Dawa ya Kukomesha FFU na Mapolisi wanao ingia Bungeni Kupiga wabunge.

TL. Marandu

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
3,625
5,807
Ili iwe Fundisho Mimi Ningeshauri, Na ningekuwepo kama Mbunge wa Upinzani Ningefanya hivi. Wabunge wote Wanaume Wabebe Mikongoji heavy duty. Maana mbona akina Mkono wanabeba Kifimbo. Na wabunge wamama wavae Mikanda yenye bakoli nzito. Halafu wavae suruali.

Sasa Iwapo itatokea Tena Mpuuzi yeyote kuleta askari bungeni (Sio wale askari wa Bunge) Basi wapigeni kwa Mikongoji, Bakoli za Mikanda na hata mkiwavunja mafuvu hawa mbwa sawa tu. Baada ya hapo nawahakikishia CCM hawatakaa kuchezea Demokrasia na Amani ya nchi. Hii Kuiba Kura nk. Ni kwa kuwa wameshaamini they can get away with it.

Sasa wakijua Kuwa Hawawezi Kuwashitaki Mahakamani kwa Kumtwangia Askari Haramu hapo Ukumbini, Watashika Adabu.

Really Toby? "Yes Nimesema hivi Nikiwa Na akili yangu timamu.

cs_91PBS.jpg
Mkongojo Kama Huu, Msibebe yenye Visu, Watawasingizia ninyi ni Magaidi.

women_brown_leather_western_belt_gold_rhinestones_big_buckle_36_-40__48582985.jpg
Dada yangu Halima Mdee Huu mkanda Vipi, "Uwongo? Kweli?"
 
Ili iwe Fundisho Mimi Ningeshauri, Na ningekuwepo kama Mbunge wa Upinzani Ningefanya hivi. Wabunge wote Wanaume Wabebe Mikongoji heavy duty. Maana mbona akina Mkono wanabeba Kifimbo. Na wabunge wamama wavae Mikanda yenye bakoli nzito. Halafu wavae suruali. Sasa Iwapo itatokea Tena Mpuuzi yeyote kuleta askari bungeni (Sio wale askari wa Bunge) Basi wapigeni kwa Mikongoji, Bakoli za Mikanda na hata mkiwavunja mafuvu hawa mbwa sawa tu. Baada ya hapo nawahakikishia CCM hawatakaa kuchezea Demokrasia na Amani ya nchi. Hii Kuiba Kura nk. Ni kwa kuwa wameshaamini they can get away with it. Sasa wakijua Kuwa Hawawezi Kuwashitaki Mahakamani kwa Kumtwangia Askari Haramu hapo Ukumbini, Watashika Adabu. Really Toby? "Yes Nimesema hivi Nikiwa Na akili yangu timamu.
cs_91PBS.jpg
Mkongojo Kama Huu, Msibebe yenye Visu, Watawasingizia ninyi ni Magaidi.
women_brown_leather_western_belt_gold_rhinestones_big_buckle_36_-40__48582985.jpg
Dada yangu Halima Mdee Huu mkanda Vipi, "Uwongo? Kweli?"
Ili iwe Fundisho Mimi Ningeshauri, Na ningekuwepo kama Mbunge wa Upinzani Ningefanya hivi. Wabunge wote Wanaume Wabebe Mikongoji heavy duty. Maana mbona akina Mkono wanabeba Kifimbo. Na wabunge wamama wavae Mikanda yenye bakoli nzito. Halafu wavae suruali. Sasa Iwapo itatokea Tena Mpuuzi yeyote kuleta askari bungeni (Sio wale askari wa Bunge) Basi wapigeni kwa Mikongoji, Bakoli za Mikanda na hata mkiwavunja mafuvu hawa mbwa sawa tu. Baada ya hapo nawahakikishia CCM hawatakaa kuchezea Demokrasia na Amani ya nchi. Hii Kuiba Kura nk. Ni kwa kuwa wameshaamini they can get away with it. Sasa wakijua Kuwa Hawawezi Kuwashitaki Mahakamani kwa Kumtwangia Askari Haramu hapo Ukumbini, Watashika Adabu. Really Toby? "Yes Nimesema hivi Nikiwa Na akili yangu timamu.
cs_91PBS.jpg
Mkongojo Kama Huu, Msibebe yenye Visu, Watawasingizia ninyi ni Magaidi.
women_brown_leather_western_belt_gold_rhinestones_big_buckle_36_-40__48582985.jpg
Dada yangu Halima Mdee Huu mkanda Vipi, "Uwongo? Kweli?"
Mmh. Sio bange hizi kweli?!
 
Mmh. Sio bange hizi kweli?!

No, Mimi hata sigara sivuti, Kama Navuta Bangi basi Mandela alivuta Nini, Tutapigwa, Kudhalilishwa, Kuuwawa mpaka lini. Jiweke Kwenye miguu ya Familia au watoto wa Mwangosi au Wabunge waliodhalilishwa Utajisikiaje. Bungeni sio shule ya Msingi! wale sio watoto ni wawakilishi wa watu. When you say jump, they dont just go along and say how high! Tutadhalilishwaje kwenye nchi yetu wenyewe? Kama Ukawa wangelishika Serikali Ungependa wawatendee CCM hivyo. Kwa moyo bila Unafiki, Ningeshikwa na hasira hii hii.
 
Mmh. Sio bange hizi kweli?!

Angalia Hii Video halafu utaniambia Tena Kama Nina hasira za Bangi. Miaka Yote Nimelia na Kukemea sana Unyama wa Polisi sijaanza Leo. Sasa nimeona Kelele tu hazisaidii.


Miaka Na Miaka Nikijaribu Kushawishi Tabia hizi ziachwe. Inasikitisha sana!





 
Hata kama tatizo kweli lipo...lakini njia/solution(s) ulizozileta hapa zinaashiria either unawakejeli upinzani maksudi au wakati unaandika hii ulikuwa 'under the influence' of drugs au wewe ni primitive/duni kabisa!
 
Sawa mkuu nimekuelewa

Thanks, Lakini Labda siku Moja Polisi watajua Mtu, akitoka Nyumbani Kwake anathamani, Anaweza Kuwa Ni mtoto wa Pekee wa Mama Mjane, Anaweza Kuwa Ni Baba wa vitoto Vichanga. Na Mnampiga mpaka pendine kumuua bila sababu. Mmeathiri watu wangapi? Dhambi hizi Mtazitubu kwa nani?
Hata Kama mtu ni Mhalifu, kama hana silaha na anakabidhiwa na Polisi zaidi ya saba au zaidi. Wanampiga Kutimiza lengo gani. Rais wa Nchi anyayevumilia haya kwangu ni Kama Nyani wa Porini tu hastahili kuwa Kiongozi wa watu. I am very sory, Mimi Naumia sana, sana, sana Nikiona Mwanadamu Mwingine anateswa na Kuonewa bila sababu. Wao wasingependa kufanyiwa hivyo!
 
Ili iwe Fundisho Mimi Ningeshauri, Na ningekuwepo kama Mbunge wa Upinzani Ningefanya hivi. Wabunge wote Wanaume Wabebe Mikongoji heavy duty. Maana mbona akina Mkono wanabeba Kifimbo. Na wabunge wamama wavae Mikanda yenye bakoli nzito. Halafu wavae suruali.

Sasa Iwapo itatokea Tena Mpuuzi yeyote kuleta askari bungeni (Sio wale askari wa Bunge) Basi wapigeni kwa Mikongoji, Bakoli za Mikanda na hata mkiwavunja mafuvu hawa mbwa sawa tu. Baada ya hapo nawahakikishia CCM hawatakaa kuchezea Demokrasia na Amani ya nchi. Hii Kuiba Kura nk. Ni kwa kuwa wameshaamini they can get away with it.

Sasa wakijua Kuwa Hawawezi Kuwashitaki Mahakamani kwa Kumtwangia Askari Haramu hapo Ukumbini, Watashika Adabu.

Really Toby? "Yes Nimesema hivi Nikiwa Na akili yangu timamu.

cs_91PBS.jpg
Mkongojo Kama Huu, Msibebe yenye Visu, Watawasingizia ninyi ni Magaidi.

women_brown_leather_western_belt_gold_rhinestones_big_buckle_36_-40__48582985.jpg
Dada yangu Halima Mdee Huu mkanda Vipi, "Uwongo? Kweli?"
Ndio think tank wa chadema hao
 
Uki-behave kama paka lazima uletewe mbwa!

Uki-behave kama Ng'ombe wataletwa farasi!

Uki-behave kama gaidi lazima kikosi maalum kikushukie!

Uki-behave kama muumini utatendewa kipadre au kishehe!

SERIKALI ITAINGIA POPOTE PALE(hata chumbani kwako ukiwa kwenye faragha) HASWA UNAPOTAKA KUHATARISHA USALAMA.

Hivi wabunge wa CCM wakiamua kulianzisha na kuanza kuwapa kichapo mtawaweza ???

Tumia hoja/lobbying ili ushawishi achana na vihoja au maguvu kwani utanyooshwa tu!

"SI MLITAKA CHAI CHAI IWEJE ULALAMIKE UNAUNGUA'' BY SIR NATURE
 
Tatizo kila inapotokea Jambo kama hilo tunapenda kukimbilia kujadili matokeo na kulaumu lakini CHAZO kikichopelekea tukio kutokea kinafumbiwa macho. Hebe TUJIULIZE .. Hivi walichofanya wapinzani kuvuruga mwenendo wa kikao cha Bunge ni sahihi? Hivi sababu iliyopelekea wao kufanya waliyofanya Ina mashiko na tija kwa Umma na Wapigakura waliowapeleka bungeni...? Hivi wanapong'ang'ania LIVE Coverage ni ili waonekane walichokisema au jinsi walivyo kisema ? Huo muda wa saa 5 mpaka saa 11 hivi Watanzania wanatakiwa wawe wanazalisha au wanaangalia luninga? Maswali ni Mengi ya kutafakari... Kama hawa kuridhika kwa nini wasitoe maoni kama inavyotakiwa kwa utaratibu na kama inabidi basi watoke in protest kwa utaratibu badala ya makelele na kusimama bungeni kuhakikisha kikao kinavurugika??!!! Najua kama kawaida wasiyo na hoja watakimbilia MATUSI sawa tu tumezoea ila Changia hili kwa hoja zenye mashiko.
 
Uki-behave kama paka lazima uletewe mbwa!

Uki-behave kama Ng'ombe wataletwa farasi!

Uki-behave kama gaidi lazima kikosi maalum kikushukie!

Uki-behave kama muumini utatendewa kipadre au kishehe!

SERIKALI ITAINGIA POPOTE PALE(hata chumbani kwako ukiwa kwenye faragha) HASWA UNAPOTAKA KUHATARISHA USALAMA.

Hivi wabunge wa CCM wakiamua kulianzisha na kuanza kuwapa kichapo mtawaweza ???

Tumia hoja/lobbying ili ushawishi achana na vihoja au maguvu kwani utanyooshwa tu!

"SI MLITAKA CHAI CHAI IWEJE ULALAMIKE UNAUNGUA'' BY SIR NATURE
Yani Lusinde apange paringi na Lema teh teh teh...

Mtu anayeshindia viwazi anaweza kurusha hata ngumi kweli???
 
Mkuu TL Marandu, hiyo video wanampiga raia imeniuma sana; Inaonyesha jinsi gani walivyo wapuuzi hawa jamaa ... How can you do that kwa mtu anayejitetea, tena bila silaha! Ujinga huu!
 
Tatizo kila inapotokea Jambo kama hilo tunapenda kukimbilia kujadili matokeo na kulaumu lakini CHAZO kikichopelekea tukio kutokea kinafumbiwa macho. Hebe TUJIULIZE .. Hivi walichofanya wapinzani kuvuruga mwenendo wa kikao cha Bunge ni sahihi? Hivi sababu iliyopelekea wao kufanya waliyofanya Ina mashiko na tija kwa Umma na Wapigakura waliowapeleka bungeni...? Hivi wanapong'ang'ania LIVE Coverage ni ili waonekane walichokisema au jinsi walivyo kisema ? Huo muda wa saa 5 mpaka saa 11 hivi Watanzania wanatakiwa wawe wanazalisha au wanaangalia luninga? Maswali ni Mengi ya kutafakari... Kama hawa kuridhika kwa nini wasitoe maoni kama inavyotakiwa kwa utaratibu na kama inabidi basi watoke in protest kwa utaratibu badala ya makelele na kusimama bungeni kuhakikisha kikao kinavurugika??!!! Najua kama kawaida wasiyo na hoja watakimbilia MATUSI sawa tu tumezoea ila Changia hili kwa hoja zenye mashiko.
Tatizo kila inapotokea Jambo kama hilo tunapenda kukimbilia kujadili matokeo na kulaumu lakini CHAZO kikichopelekea tukio kutokea kinafumbiwa macho. Hebe TUJIULIZE .. Hivi walichofanya wapinzani kuvuruga mwenendo wa kikao cha Bunge ni sahihi? Hivi sababu iliyopelekea wao kufanya waliyofanya Ina mashiko na tija kwa Umma na Wapigakura waliowapeleka bungeni...? Hivi wanapong'ang'ania LIVE Coverage ni ili waonekane walichokisema au jinsi walivyo kisema ? Huo muda wa saa 5 mpaka saa 11 hivi Watanzania wanatakiwa wawe wanazalisha au wanaangalia luninga? Maswali ni Mengi ya kutafakari... Kama hawa kuridhika kwa nini wasitoe maoni kama inavyotakiwa kwa utaratibu na kama inabidi basi watoke in protest kwa utaratibu badala ya makelele na kusimama bungeni kuhakikisha kikao kinavurugika??!!! Najua kama kawaida wasiyo na hoja watakimbilia MATUSI sawa tu tumezoea ila Changia hili kwa hoja zenye mashiko.
Walifanya fujo baada ya kutokusikilzwa.Mbunge anaomba asikilizwe,kiti kinagoma.Wafanyeje kama minority?
 
Back
Top Bottom