kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Nitangulize kusema kuwa ukitumia dawa sio kwamba kila kitu utakipata bila kutafuta kama wanavyo amini watu fulani kuwa ukiwa na dawa huwezi kupambana vitu vitakuwa vinakuja vyenyewe Hapana kabisa Ukiwa na dawa kupambana utapambana Tena saana Kazi ya dawa ni hipi Dawa inakusaidia wewe kukutengenezea mazingira ili ukiwa una kutana na vikwazo vya kukukatisha tamaa au kukufelisha Visikusumbuwe yaani njia iwe nyepesi kwako kwa kila jambo utakalo kuwa unafanya dawa inakupa bahati tu
Sasa dawa hii inahitaji uchafu wa sokoni Na majani yeyote ambayo utaokota kwenye njia panda Pamoja na mizizi ya mtu wowote ambao umepandwa kwenye kaburi Na maji ya bahari Dawa hii utafanya mfuke wakati wa usiku tena siku ya juma mosi kipindi cha mwezi ukiwa angani Dawa hii utachukua maji yale na kuweka jikoni pamoja na dawa Hile
Unafanya mfuke kwa manuizi haya. Leo ni siku ya 1 ya mapumziko ya maisha yangu; Leo, ninaanza maisha mapya; Ninaishi siku hii kana kwamba ndiyo siku yangu ya mwisho; Nitaishi siku hii kwa moyo uliojaa upendo; Ninatabasamu maishani; Nikitaka kitu, ninao uwezo wa kukipata; Nahifadhi mpaka nifanikiwe; Nina haki ya kumnyima mtu kitu bila kupoteza upendo wake; Watu wengine pia wana haki ya kunikatalia kitu bila kuniathiri. ukiwa ndani ya mfuke uku ukizungusha maji yale
Na mti kwa manuizi Maji yale utayamwamwaga chooni Ukifanya dawa hii hakikisha usioge kipindi cha siku tatu
Na usikutane na mwanaume au mwanamke yeyote kwa kipindi cha siku hizo tatu wala kutoka ndani ya nyumba
Dawa hii itakupa bahati tu sio kwamba itakupa pesa
Sasa dawa hii inahitaji uchafu wa sokoni Na majani yeyote ambayo utaokota kwenye njia panda Pamoja na mizizi ya mtu wowote ambao umepandwa kwenye kaburi Na maji ya bahari Dawa hii utafanya mfuke wakati wa usiku tena siku ya juma mosi kipindi cha mwezi ukiwa angani Dawa hii utachukua maji yale na kuweka jikoni pamoja na dawa Hile
Unafanya mfuke kwa manuizi haya. Leo ni siku ya 1 ya mapumziko ya maisha yangu; Leo, ninaanza maisha mapya; Ninaishi siku hii kana kwamba ndiyo siku yangu ya mwisho; Nitaishi siku hii kwa moyo uliojaa upendo; Ninatabasamu maishani; Nikitaka kitu, ninao uwezo wa kukipata; Nahifadhi mpaka nifanikiwe; Nina haki ya kumnyima mtu kitu bila kupoteza upendo wake; Watu wengine pia wana haki ya kunikatalia kitu bila kuniathiri. ukiwa ndani ya mfuke uku ukizungusha maji yale
Na mti kwa manuizi Maji yale utayamwamwaga chooni Ukifanya dawa hii hakikisha usioge kipindi cha siku tatu
Na usikutane na mwanaume au mwanamke yeyote kwa kipindi cha siku hizo tatu wala kutoka ndani ya nyumba
Dawa hii itakupa bahati tu sio kwamba itakupa pesa