Chilangachiba
Member
- Oct 2, 2012
- 26
- 2
Habari wakuu! Nisaidieni mwenzenu, nimetumia dawa za hospitali za kutibu amoeba naona hazinisaidii sana. Naomba kwa anayefahamu dawa za asili (herbal medicine) za kutibu amoeba anijulishe. Asanteni
Fanya uchunguzi zaidi ndugu , ni kweli kinachokusumbua ni amoeba ? Kwamba Metronidazole , Tinidazole , secnidazole ,Ornidazole n.k zimeshindwa ? Sitaki kuamini !
Habari wakuu! Nisaidieni mwenzenu, nimetumia dawa za hospitali za kutibu amoeba naona hazinisaidii sana. Naomba kwa anayefahamu dawa za asili (herbal medicine) za kutibu amoeba anijulishe. Asanteni
WEWE UNAPATIKANA WAPI? MAANA MIMI KILA NINAPOPIMA AMIBA NDIYO WANAOONEKANA LICHA YA KUTUMIA DAWAHuwa nasikitishwa sana na hizi hospital za mtaani na vipimo vyao feki. Kwa taaluma mimi ni Health lab scientist kama bado hujapata ufumbuzi wa tatizo lako nitafute nikusaidie kwa vipimo.