R.I.P Mzee wakati,nitakukumbuka kwa utangazaji uliotukuka na pia nakumbuka wakati ule Dr SAS ni balozi wetu kule Yuno mzee alikuwa kila trip anaenda yeye kutangaza mambo yanayojiri hapo Yuno laivu bila chenga kupitia RTD,siku hizi hayo mambo hakuna sijui kwa nini