GE2025 David Misime: Kuna wahalifu wanapeleka maudhui ya uchonganishi na kutukana. Wananeemeka kwa kutumia mitandao ya kijamii

GE2025 David Misime: Kuna wahalifu wanapeleka maudhui ya uchonganishi na kutukana. Wananeemeka kwa kutumia mitandao ya kijamii

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Msemaji Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema kuwa kuna baadhi ya watu hutumia mitandao ya kijamii kujinufaisha kwa kuchochea vurugu ili kujineemisha

"Vijana mkumbuke baadhi ya wahalifu wamebaini kwamba kutokana na mitandao hiyo ya nje wakianzisha akaunti zao wakipeleka maudhui ya uchonganishi na kutukana, baadhi yetu ambao hatujui kuchambua mambo tutawafuata"

"Wakipata wafuasi wengi ndivyo wanavyolipwa na hiyo mitandao, kwa hiyo wahalifu wanatumia hiyo mitandao"



 
Write your reply...mange anapiga karibu milion 200 kwa mwezi kwa app yake kulipia na maudhui yake ya uchonganishi uongo kuchafua watu.tena tangu enzi za the utamu blog
 
Kocha mzuri ni yule anaesoma mbinu za mpinzan aliemzid na kuja na mbinu nzur ya kuzuia na kushambulia kwa pamoja.

Kwavile hamna akili waachen wawabebe mpoteee mazma
 
Wakuu,

Msemaji Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema kuwa kuna baadhi ya watu hutumia mitandao ya kijamii kujinufaisha kwa kuchochea vurugu ili kujineemisha

"Vijana mkumbuke baadhi ya wahalifu wamebaini kwamba kutokana na mitandao hiyo ya nje wakianzisha akaunti zao wakipeleka maudhui ya uchonganishi na kutukana, baadhi yetu ambao hatujui kuchambua mambo tutawafuata"

"Wakipata wafuasi wengi ndivyo wanavyolipwa na hiyo mitandao, kwa hiyo wahalifu wanatumia hiyo mitandao"



Hata kutekana kwa sababu ya kuhamasishanakupitia majukwaa,hivyo ni fursa ya kupatikana watekaji pia
 
Wakenya wengi wamefungua accounts huko You Tube na maudhui yao makubwa ni siasa zetu hapa nyumbani na matusi yanaporomoshwa kama yote.
 
Policcm wenyewe ndio hawa mashahidi wa mchongo?

Mhe. Lissu : Umewahi kusoma kitabu cha Rais Mwinyi kunaitwa Mzee Rukhsa kinazungumzia historia yake?

Kaaya: Nimekisikia.

Lissu: Umekisoma Je?

Kaaya: Hapana sijasoma.

Mhe. Lissu: Mzee Mwinyi kwenye kitabu hicho alieleza CCM na serikali walikataa mapendekezo ya Baba wa taifa kuwa mgombea binafsi aruhusiwe?

Kaaya: Sio kweli.

Mhe. Lissu: Umejuaje wakati hujasoma?
 
Back
Top Bottom