Ninatatizo kidogo na samsung note 2,,inapandisha G na iko slow sana kwenye internet,,ni vipi naweza kufix hili tatizo ili isome H+...
Kwenye network mode ipo kwenye WCDMA/GSM
Ninatatizo kidogo na samsung note 2,,inapandisha G na iko slow sana kwenye internet,,ni vipi naweza kufix hili tatizo ili isome H+...
Kwenye network mode ipo kwenye WCDMA/GSM