Dar mmenifurahisha na Mabadiliko

Dar mmenifurahisha na Mabadiliko

jipange

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
209
Reaction score
44
Leo nimelejea toka dar nilikuwa dar kwa s toka jpili.

Kuanzia nilipo wasili airport tax niliochukua driver ni UKAWA stories tu.

Nikiwa mitaa ya dar karibu watu wengi nilio wadadisi wapo team Lowassa yaan ni shamra shamra mabendera kila sehem ata sisi uku arusha ndo waanzilishi wa mabadiliko hatuwafikii.

Nikiwa dar nilikodi tax tofauti tofauti kama 6 kwa wakati tofauti madriver wote wanasema ni Lowassa wao wamechoka maisha ya uongo.

Kweli Dar sasa mpo tayari nawapongeza sana.
 
Hata leonimeshangaa daimond kushangiliwa kuliko kikwete na mihemko yake
 
Leo nimelejea toka dar nilikuwa dar kwa s toka jpili.

Kuanzia nilipo wasili airport tax niliochukua driver ni UKAWA stories tu.

Nikiwa mitaa ya dar karibu watu wengi nilio wadadisi wapo team Lowassa yaan ni shamra shamra mabendera kila sehem ata sisi uku arusha ndo waanzilishi wa mabadiliko hatuwafikii.

Nikiwa dar nilikodi tax tofauti tofauti kama 6 kwa wakati tofauti madriver wote wanasema ni Lowassa wao wamechoka maisha ya uongo.

Kweli Dar sasa mpo tayari nawapongeza sana.

Lofa alitaka ajulikane kama alipanda ndege,tupia picha basi tuone ukiwa ndegenii?
 
..yesss; tumechoka kudanganywa, hata kama walituona wajinga sasa mwisho wao umefika!
#golowassa2015!

Hongereni sana watu wa dar mkuu.
Yaan wale madereva wa tax vile walivyokuwa wanajenga hoja zao makin sana lakin nikawa naendelea ku challenge uku nikijifanya mi team makomeo.
 
Dar tumejitambua sasa, hasa baadaya CCM kuhujumu rasimu ya pili ya katiba inayopendekezwa. Dawa ya kiburi ni jeuri.
 
Leo nimelejea toka dar nilikuwa dar kwa s toka jpili.

Kuanzia nilipo wasili airport tax niliochukua driver ni UKAWA stories tu.

Nikiwa mitaa ya dar karibu watu wengi nilio wadadisi wapo team Lowassa yaan ni shamra shamra mabendera kila sehem ata sisi uku arusha ndo waanzilishi wa mabadiliko hatuwafikii.

Nikiwa dar nilikodi tax tofauti tofauti kama 6 kwa wakati tofauti madriver wote wanasema ni Lowassa wao wamechoka maisha ya uongo.

Kweli Dar sasa mpo tayari nawapongeza sana.

SASA MKUU mabadiliko ya DAR ni yale ya tuliyoyaona Jangwani kutoka kwa MAGUFULI..... au mabadiliko ya genge la wahuni ya kuzungusha mikono?
 
Huku tuna Mtaji wa 2.7mil
Mwanza na Mbeya wametuzidi kidogo,ubaya mwingime Mbeya ni Lowasa hivyo Lowasa tayari ana mtaji wa 4.1mil miko miwili tu
 
Dar tupo vizuri kwakweli.
Ila hata mikoani huko sio wa kubeza,wako serious sana na mabadiliko.
 
Leo nimelejea toka dar nilikuwa dar kwa s toka jpili.

Kuanzia nilipo wasili airport tax niliochukua driver ni UKAWA stories tu.

Nikiwa mitaa ya dar karibu watu wengi nilio wadadisi wapo team Lowassa yaan ni shamra shamra mabendera kila sehem ata sisi uku arusha ndo waanzilishi wa mabadiliko hatuwafikii.

Nikiwa dar nilikodi tax tofauti tofauti kama 6 kwa wakati tofauti madriver wote wanasema ni Lowassa wao wamechoka maisha ya uongo.

Kweli Dar sasa mpo tayari nawapongeza sana.
pa1 sana kamanda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom