DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,641
- 81,540
Jiji la Dar ni jiji ambalo kila mtu ambaye yuko mikoani anandoto yakuja kuliona nakujua liko vipi.
Sasa nawaasa wadau kuwa hili jiji sahivi nigumu sana endapo ukija huku unaweza kumezwa na jiji mpaka ukakosa mpaka nauli ya kurudi kwenu mkoani kumzika mama yako.
Kama unakuja Dar uje kwa malengo chanya maana kufanikiwa siku zote kupo tu ila cha muhimu nikuwa na subra kusali sana.
Kuhusu wanawake
Huku Dar wanawake wapo wakutosha yaani hata ukitaka kumiliki wachumba 30 unapata bila tatizo muhimu uwe na hela ya kutosha.
Ajira
Huku Ajira zipo japo mzee jiwe kavuluga maisha kwa kupandisha kodi.
Chakula
Huku chakula kipo ila ukipenda kula bila budget itakucost.
Hali ya hewa
Huku joto ni lakutosha unaweza kupigwa jua mpaka ukajuta kwanini ulikuja Dar.
Hitimisho;
Kama uko mikoani kuna fursa bora utulie huko huko maana sahivi mzee jiwe kavuruga kila sehemu naweza kuruka majivu ukakanyaga moto
Angalizo
Dar ni jiji lenye kila starehe uijuayo so yakupasa kuwa makini.
Sasa nawaasa wadau kuwa hili jiji sahivi nigumu sana endapo ukija huku unaweza kumezwa na jiji mpaka ukakosa mpaka nauli ya kurudi kwenu mkoani kumzika mama yako.
Kama unakuja Dar uje kwa malengo chanya maana kufanikiwa siku zote kupo tu ila cha muhimu nikuwa na subra kusali sana.
Kuhusu wanawake
Huku Dar wanawake wapo wakutosha yaani hata ukitaka kumiliki wachumba 30 unapata bila tatizo muhimu uwe na hela ya kutosha.
Ajira
Huku Ajira zipo japo mzee jiwe kavuluga maisha kwa kupandisha kodi.
Chakula
Huku chakula kipo ila ukipenda kula bila budget itakucost.
Hali ya hewa
Huku joto ni lakutosha unaweza kupigwa jua mpaka ukajuta kwanini ulikuja Dar.
Hitimisho;
Kama uko mikoani kuna fursa bora utulie huko huko maana sahivi mzee jiwe kavuruga kila sehemu naweza kuruka majivu ukakanyaga moto
Angalizo
Dar ni jiji lenye kila starehe uijuayo so yakupasa kuwa makini.