Dar is not safe!

Very true!, I likua utapeli wameenda kulowa madirishani sasa wanavamia kwanguvu kesho itakuwaje, haijulikani.
 
Dsm ni mwendo wa survival of the fittest
 

Yes huu ndiyo ukweli na wanaongezeka maana maisha yanazidi kuwa magumu .Mbaya zaidi ni kwamba vibaka wa sasa wote hata kuandika na kusoma hawajui maana wametokea shule za msingi za kukaa chini na hakuna mwalimu .Hawajui lolote hata neno huruma kwao ni msamiati .Nimeipenda hii .Si Dar pekee hawa wako kila mjini mkubwa wa mkoa na wilaya wako .Au big centers penye movements za kutafuta maisha wapo na wanawadhuru mno watanzania wema .
 
Reactions: BAK

Hili ni janga la taifa
 

Mkuu Lunyungu, hali inatisha sana huo ndio ukweli wa mambo.
 
Vibaka wametake over vyombo vya usalama viko kimya, it just danger! Watu wanatekwa tekwa 2.
Hiyo mbona chamtoto! Mambo ndio yanaanza na mtatekwa tekwa sana hadi pale pengo (ombwe) kati ya matajiri na masikini mtakapolipunguzwa
 
ajira ngumu..vijijini hakuna mvua..nature take its way
 
Hiyo mbona chamtoto! Mambo ndio yanaanza na mtatekwa tekwa sana hadi pale pengo (ombwe) kati ya matajiri na masikini mtakapolipunguzwa
pengo halitazibika kwa maskini kugawana umaskini bali tajiri kugawana na maskini, wezi kuteka wanafunzi it will take 4rever to cover the gap
 
kama uchumi wa nchi ni mbovu na vibaka nao wanaongezeka (directly proportionary) na hii yote inatokana na ongezeko la mafisadi iz inversily proportionary 2 uchumi. hayo ndio maisha ya kibongo
 
Tatizo kubwa ni Demokrasia. Pinda alisema waua maalbino wauliwe; ikaleta kasheshe mpaka kizee kile kikalia Bungeni. Sasa na leo, akitamka Saidi Mwema au NAHODHA Shoot to KILL; itakuwa issue. Ila mimi naona bora wafanye kimya kimya! Kufanya kwenyewe ni kuwatungua, Watu wanaibiwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…