Aron Mosha
Member
- Sep 22, 2010
- 11
- 0
Vibaka wametake over vyombo vya usalama viko kimya, it just danger! Watu wanatekwa tekwa 2.
FafanuaVibaka wametake over vyombo vya usalama viko kimya, it just danger! Watu wanatekwa tekwa 2.
vibaka wengi ni waendesha boda bodaFafanua
jaman mbon bodaboda wanasaidia usafiri tuvibaka wengi ni waendesha boda boda
Kinanani vibaka? Be specific ktk hili teh!Vibaka wametake over vyombo vya usalama viko kimya, it just danger! Watu wanatekwa tekwa 2.
Hao wanaojifanya vyombo vya usalama ndio vibaka wenyewe, unategemea nini katika mazingira kama hayo!Vibaka wametake over vyombo vya usalama viko kimya, it just danger! Watu wanatekwa tekwa 2.
Vibaka wametake over vyombo vya usalama viko kimya, it just danger! Watu wanatekwa tekwa 2.
vibaka wengi ni waendesha boda boda
Kwani hujui vyombo vya usalama vipo kwa ajili ya kulinda usalama wa "ruling elites" ?, Vibaka ni zao la watawala kuangalia masilahi yao zaidi na kuacha kugundua kua suala la ongezeko la vijana wasio na ajira ni threat for national security, wao wana-focus on manipulating elections to remain in power.Huwezi kuwa na amani katika nchi ambayo majority hawana uhakika wa kipato na kumudu maisha yao, ujue ni lazima nature itafanya kazi yake, kunyang'anyana kidogo kilichoshikwa na wachache walio vulnerable. Jitahidi utafute silaha ya moto ujilinde, Police are no more for probono, they are a bunch of thieves with authority to kill and paint you as "Jambazi", Tanzania sasa tumeingia kwenye sheria za porini "law of the jungle: the struggle for existence and the survival of the fittest." Kama huna nguvu utaliwa tu.
Vibaka wametake over vyombo vya usalama viko kimya, it just danger! Watu wanatekwa tekwa 2.
sasa nani asiyeheshimu kazi za wenzake? tunapiga kelele ccm wote wezi kwani kwani ni kweli wote wezi au wachache wanawaharibia wengi? hata kova kashasema mara nyingi kuwa vibaka dar ni waendesha bodaboda, kama unabisha tembea na mamsapu wako abebe handbag yake mkononi kutoka shekilango hadi madukani uone habari yakeHoya wazee tuheshimu kazi za watu.kuendesha boda x 2 haimanishi kuwa kibaka.hizo ndo ajira za bongo au ww mtoto wamafisadi hujui tatizo la ajira?
Ni sahihi kabisa amani haipo kwa jamii ya gap kwabwa kati ya walionazo na wasiokuwa nazo hasa kama majority are poor,lakini kumiliki silaha kila mmoja wetu kwa kigezo cha kujihami si njia ya kukutatua wingi wa vibaka mijini,chakufana tuchukue hatua kwa vitendo kwa wote wanaotafuta utajiri kwa njia ya mkato(mafisadi,wezi na vibaka) bila kujali nyazifa na madaraka yao.
Kwani hujui vyombo vya usalama vipo kwa ajili ya kulinda usalama wa "ruling elites" ?, Vibaka ni zao la watawala kuangalia masilahi yao zaidi na kuacha kugundua kua suala la ongezeko la vijana wasio na ajira ni threat for national security, wao wana-focus on manipulating elections to remain in power.
Huwezi kuwa na amani katika nchi ambayo majority hawana uhakika wa kipato na kumudu maisha yao, ujue ni lazima nature itafanya kazi yake, kunyang'anyana kidogo kilichoshikwa na wachache walio vulnerable. Jitahidi utafute silaha ya moto ujilinde, Police are no more for probono, they are a bunch of thieves with authority to kill and paint you as "Jambazi", Tanzania sasa tumeingia kwenye sheria za porini "law of the jungle: the struggle for existence and the survival of the fittest." Kama huna nguvu utaliwa tu.
Si uhame, lazima ukae Dar?