Shantel JF-Expert Member Joined Feb 7, 2011 Posts 2,018 Reaction score 1,132 Oct 16, 2011 #21 Mi nafikiria kitu, enzi za adam na hawa walipoanza kujaza dunia walitembea ndugu kwa ndugu, why sasa ni big issue, naona waarabu na wahindi wako kabila moja na adam na hawa
Mi nafikiria kitu, enzi za adam na hawa walipoanza kujaza dunia walitembea ndugu kwa ndugu, why sasa ni big issue, naona waarabu na wahindi wako kabila moja na adam na hawa
figganigga Platinum Member Joined Oct 17, 2010 Posts 27,533 Reaction score 62,031 Oct 16, 2011 #22 Husninyo said: yote maisha kaka, usifikiri kuna familia inapenda mambo yawe hivyo. Click to expand... umesoma uliyaandika kabla ya kupost au hukuelewa maada?inaonekana safari hii akili zako umezipeleka likizo.
Husninyo said: yote maisha kaka, usifikiri kuna familia inapenda mambo yawe hivyo. Click to expand... umesoma uliyaandika kabla ya kupost au hukuelewa maada?inaonekana safari hii akili zako umezipeleka likizo.