Aisee nimetembea Dar kwa mara ya kwanza zaidi ya ,miez 3 nimeona kuwa na is over rated, yaani watu wake wengi ni maskini sanaa, wanaishi kwenye nyumba za mabanda na ziko unplanned, 70 % of Dar residents are living in dump ,trash.
Dar hakuna makazi bora ni uchafu tu. Nawashauri wakaz wa Dar watembelea mji wa Makambako, Njombe wakaone nyumba bora na jinsi mji ulivyopangwa, pia wanaweza tembelea miji kama Curitiba city, Cordoba , belohorozontal ,Walvis bay etc ,
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar hakuna makazi bora ni uchafu tu. Nawashauri wakaz wa Dar watembelea mji wa Makambako, Njombe wakaone nyumba bora na jinsi mji ulivyopangwa, pia wanaweza tembelea miji kama Curitiba city, Cordoba , belohorozontal ,Walvis bay etc ,
Sent using Jamii Forums mobile app