HahAhaaaaaKwa hiyo wanaume wa Dar mmeshindwa kuinua hiyo container na kuangalia kama chini kuna watu?!
Walisikia watu wanaume wa mikoani wakiongea kwa jazba
Hao madereva hao. ..
Hadi Sasa hawajaitoa naona kuna gari imefika taratibu zinaanza za kulitoa.Wajitahidi kesho litasababisha foleni tu kwakweli
Ukiendesha gari lazima uwe makini wakati wote. ...muhimu sana sana. ..maisha yanathamani sana mbele ya macho ya MAULANADereva anakosa gani.