Dalili za mnyama anayeumwa

Dalili za mnyama anayeumwa

mchau

Member
Joined
Nov 16, 2024
Posts
89
Reaction score
92
---

πŸ–πŸ“Œ ELIMU KWA WAFUGAJI
Dalili za Nguruwe Anayeumwa

---

πŸ” Unajuaje kama nguruwe anaumwa?
Fuatilia dalili zifuatazo mara kwa mara:

1. 🍽️ Kukosa hamu ya kula
2. 😴 Kulala sana au kupoteza nguvu
3. πŸ˜– Kutoa sauti ya kuugulia au isiyo ya kawaida
4. 😀 Kupumua kwa shida au haraka sana
5. 🌑️ Homa (mwili kuwa wa moto)
6. 🐷 Kuharisha au kinyesi kisicho cha kawaida
7. πŸ€• Vidonda, upele au ngozi kubadilika rangi
8. πŸ‘ƒ Kutoa ute puani au kikohozi
9. 🦢 Kutembea kwa shida au kutetemeka
10. 🧊 Kuvimba sehemu za mwili

---

βœ… Mambo ya Kufanya:
  • Muweke sehemu safi na ya utulivu
  • Mpe maji ya kutosha
  • Wasiliana haraka na daktari wa mifugo kwa matibabu

---

πŸ“ž Kwa Matibabu na Ushauri:
Dr. Gilliard – Daktari wa Mifugo
πŸ“± 0674740836 | 0792263640

---
 
---

πŸ–πŸ“Œ ELIMU KWA WAFUGAJI
Dalili za Nguruwe Anayeumwa


---

πŸ” Unajuaje kama nguruwe anaumwa?
Fuatilia dalili zifuatazo mara kwa mara:

1. 🍽️ Kukosa hamu ya kula
2. 😴 Kulala sana au kupoteza nguvu
3. πŸ˜– Kutoa sauti ya kuugulia au isiyo ya kawaida
4. 😀 Kupumua kwa shida au haraka sana
5. 🌑️ Homa (mwili kuwa wa moto)
6. 🐷 Kuharisha au kinyesi kisicho cha kawaida
7. πŸ€• Vidonda, upele au ngozi kubadilika rangi
8. πŸ‘ƒ Kutoa ute puani au kikohozi
9. 🦢 Kutembea kwa shida au kutetemeka
10. 🧊 Kuvimba sehemu za mwili

---

βœ… Mambo ya Kufanya:
  • Muweke sehemu safi na ya utulivu
  • Mpe maji ya kutosha
  • Wasiliana haraka na daktari wa mifugo kwa matibabu

---

πŸ“ž Kwa Matibabu na Ushauri:
Dr. Gilliard – Daktari wa Mifugo

πŸ“± 0674740836 | 0792263640

---
Lakini kutoa ute puani kwa ng'ombe ndo inadhihiriaha ana afya si ndio
 
Lakini kutoa ute puani kwa ng'ombe ndo inadhihiriaha ana afya si ndio

Na tatizo la ng'ombe kiwa kama anatafuna POVU jeupe ndomoni shida ni nini?

Cc Rayn
[/QUOTE]

Na tatizo la ng'ombe kiwa kama anatafuna POVU jeupe ndomoni shida ni nini?

Cc Rayns
Akiwa anatoa povu mdomoni isivyokawaida hiyo Hali husababishwa na maambukizi katika mfumo wa upumuaji kwenye mapafu ambapo anakuwa anahema kwa shida na kutoa povu
 
Na tatizo la ng'ombe kiwa kama anatafuna POVU jeupe ndomoni shida ni nini?

Cc Rayns
Mkuu, hadi ng'ombe una miliki nini?
Soma jibu la mdau hili.
Akiwa anatoa povu mdomoni isivyokawaida hiyo Hali husababishwa na maambukizi katika mfumo wa upumuaji kwenye mapafu ambapo anakuwa anahema kwa shida na kutoa povu

Lakini nakumbuka ng'ombe walikuwa wakila mifuko ya plastiki au boksi walikuwa wakitoa povu pia,

So kuna aina fulani ya chumvi tulikuwa tunawapatia inatibu wanyama 😎
 
Mkuu, hadi ng'ombe una miliki nini?
Soma jibu la mdau hili.


Lakini nakumbuka ng'ombe walikuwa wakila mifuko ya plastiki au boksi walikuwa wakitoa povu pia,

So kuna aina fulani ya chumvi tulikuwa tunawapatia inatibu wanyama 😎
Mmmh we umejulia wapi πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
---

πŸ–πŸ“Œ ELIMU KWA WAFUGAJI
Dalili za Nguruwe Anayeumwa


---

πŸ” Unajuaje kama nguruwe anaumwa?
Fuatilia dalili zifuatazo mara kwa mara:

1. 🍽️ Kukosa hamu ya kula
2. 😴 Kulala sana au kupoteza nguvu
3. πŸ˜– Kutoa sauti ya kuugulia au isiyo ya kawaida
4. 😀 Kupumua kwa shida au haraka sana
5. 🌑️ Homa (mwili kuwa wa moto)
6. 🐷 Kuharisha au kinyesi kisicho cha kawaida
7. πŸ€• Vidonda, upele au ngozi kubadilika rangi
8. πŸ‘ƒ Kutoa ute puani au kikohozi
9. 🦢 Kutembea kwa shida au kutetemeka
10. 🧊 Kuvimba sehemu za mwili

---

βœ… Mambo ya Kufanya:
  • Muweke sehemu safi na ya utulivu
  • Mpe maji ya kutosha
  • Wasiliana haraka na daktari wa mifugo kwa matibabu

---

πŸ“ž Kwa Matibabu na Ushauri:
Dr. Gilliard – Daktari wa Mifugo

πŸ“± 0674740836 | 0792263640

---
Unamaanisha nguruwe wetu anaumwa hama?


Juzi Tu alikuwa ameenda Kwa mwamposa kufungua kanisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom