Na pia ndio ugomjwa unaochukuliwa kuwa wa kawaida sana huwezi amini kuna watu wanaogopa kuugua mafua kuliko malaria, alafu pia ndio ugonjwa unao ongoza kwa kusababisha vifo vya watu hususani huku afrika kusini mwa jangwa la sahara..
Kingine ndio ugonjwa wenye dawa nyingi za kuutibu na ukaondoka kabisa kuliko ugonjwa mwingine wowote.
Mkuu kama unasumbuliwa na malaria hata usiangaike kukodi boda boda etii unaenda hospitali dawa unayo hapo hapo nyumbani kwako.