Daladala za kupanda kufika Kawe Beach

Daladala za kupanda kufika Kawe Beach

Borussia

Member
Joined
Apr 20, 2015
Posts
9
Reaction score
0
WanaJF naomba maelezo ya daladala za kupanda kufika Kawe Beach,Dar es salaam nipo Banana
 
Panda gari za gongo la mboto msasani, ukifika morocco ushuke upande za kawe, au upande zinazokwenda makumbusho zinazopita buguruni. Shuka buguruni chukua gari za kawe.
 
WanaJF naomba maelezo ya daladala za kupanda kufika Kawe Beach,Dar es salaam nipo Banana

Mm nafanya biashara zangu kawe....njoo pm weka number nikupitie na alteza......
Thanx
 
panda gongo la mboto makumbusho, ukifika makumbusho panda gari ya kwenda kawe ukifika kawe kama huna nauli pita nyuma ya tanzania packers vuka barabara ya mtongani utaanza kusikia upepo wa beach!
 
Mm nafanya biashara zangu kawe....njoo pm weka number nikupitie na alteza......
Thanx
Nimependa hiyo ila kama ni kwa nia nzuri maana imenipa wazo la kuanzisha the Hitchhiking Forum au JF waanzishe kipengele hicho kama kuna mwenye mawazo zaidi(kama) hayo aniambie nimpe mchango
 
panda gongo la mboto makumbusho, ukifika makumbusho panda gari ya kwenda kawe ukifika kawe kama huna nauli pita nyuma ya tanzania packers vuka barabara ya mtongani utaanza kusikia upepo wa beach!

Hakuna gari za makumbusho kawe acha fix!
 
basi mwambie ashuke moroko apande za kawe

Kwanza mtoa mada hayuko specific anataka kwenda eneo gani, kawe club, velissa, piccolo au msasani beach..tungejua destination yake ingekua rahisi sana kumsaidia!
 
Gongo la mboto msasani kisha shuka moroco, panda gari za kawe shuka kituo kinaitwa maringo kisha kutoka maringo utaweza kumalizia safari yako na bajaj (ili uoshe) au utaenda mdogo mdogo sio mbali, kumbuka kuwa mwangalifu wakati wa kuvuka bara bara.
 
Ukifika ubungo Niambie nikupelrke mwenyew Leo naenda uko shukia river side
 
Kwanza mtoa mada hayuko specific anataka kwenda eneo gani, kawe club, velissa, piccolo au msasani beach..tungejua destination yake ingekua rahisi sana kumsaidia!

Anataka kwenda kawe beach mbona ameeleweka tu, anaongelea pale ambapo hata ukiwa nje ya nchi unawakumbuka wale samaki wao
 
Ukifika ubungo Niambie nikupelrke mwenyew Leo naenda uko shukia river side

Sa mtu anatoka banana anaenda kawe ubungo aje kufata nini? Ungekuwa muungwana ungemwambia mkutane japo buguruni mkuu
 
Sa mtu anatoka banana anaenda kawe ubungo aje kufata nini? Ungekuwa muungwana ungemwambia mkutane japo buguruni mkuu


Anapanda gari la g/mboto ubungo anashukia riverside anapata lift. Sio mbaya kwakuwa mtoa lift ameridhia mwenyewe.
 
Anapanda gari la g/mboto ubungo anashukia riverside anapata lift. Sio mbaya kwakuwa mtoa lift ameridhia mwenyewe.

Ndomana nilijaribu kumfanya mtoa lift aone huruma, kumtoa mtu g'mboto mpaka river side halafu akifika pale kwa bahati mbaya akute hayupo online si atalia jamani? Anyway kama anaepewa lift ataridhia its okay.
 
Back
Top Bottom