Daladala laivu

Wazungu wametuletea balaa yani nikudanganya tu kwenye simu mwingine anaweza kukwambia yuko ofisini kumbe yuko kwenye kifua cha mtu....
 
Sasa afanyeje wakati mabuzi yote yanashindana kwa ajili nyake na mmoja wao mjanja zaidi kawahi anapelekewa mzigo akauchakachue?Huyo mwingine awe mvuilivu asubiri zamu yake maana amezidi kuwa king'ang'anizi anataka apate yeye tu wakati haonyeshi speed kubwa ya kummalizia ghorofa lake na kumletea RAV4 ili aachane na daladala.
 
Wazungu wametuletea balaa yani nikudanganya tu kwenye simu mwingine anaweza kukwambia yuko ofisini kumbe yuko kwenye kifua cha mtu....
Mimi Mke wangu simpi simu ya mkono bora awe na simu ya nyumbani kuliko kumpa simu ya mkono. ukimpa mke wako simu ya mkono ujuwe unawapa watu wengine huyo mke wako kama kweli unampenda mke wako bora usimpe simu ya mkono.
 
teh teh teh uongo mbaya jamani akina dada
 
hahahahahah hii mambo ipo kila siku tunaiona na kuisikia, ni majanga ya simu haya mkuu, uongo kila kona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…