Ummayed
JF-Expert Member
- May 21, 2019
- 6,155
- 2,573
Asee kina dada wametisha.mtu anataka
akuchunge kama vile ww ni mwanafunzi hasa hawa shombeshombe hatar.
Huu usiku wa saa saba nilikua zangu jf nachangia mada mbalimbali.mara ghafla bin vuu bibie kaamka akanitext watsap.kaanza na complain."wewe hadi hii saa saba uko macho unachat na nani"bibie jf haitambui kila nikimweleza anapanic basi kanipa divorce bhana.
Asa kina dada haki kweli hii unamuuliza mtu mzma saa saba anafanya nn online.Eti ku react huku kwema kweli.Hawa wanawake shombeshombe wana wivu hadi kwenye vuzi sio poa .
Wana jf najitangaza bhana.natafta mchumba nimeachika kisa jf bhana. nisibak lonely nikapiga puli bure.kama kuna mdada 20 to 25 years anitext pm tuyajenge.
Huu usiku wa saa saba nilikua zangu jf nachangia mada mbalimbali.mara ghafla bin vuu bibie kaamka akanitext watsap.kaanza na complain."wewe hadi hii saa saba uko macho unachat na nani"bibie jf haitambui kila nikimweleza anapanic basi kanipa divorce bhana.
Asa kina dada haki kweli hii unamuuliza mtu mzma saa saba anafanya nn online.Eti ku react huku kwema kweli.Hawa wanawake shombeshombe wana wivu hadi kwenye vuzi sio poa .
Wana jf najitangaza bhana.natafta mchumba nimeachika kisa jf bhana. nisibak lonely nikapiga puli bure.kama kuna mdada 20 to 25 years anitext pm tuyajenge.