Kuna waziri mmoja anashirikiana na matajiri fulani na wafanyakazi wa ardhi wanachukuwa ardhi na kuuza kwa vigogo na wageni.
Anauza heka moja dola 50,000 - hatari tupu. Hizo hela zinaingia manispaa? je ardhi iliyopimwa na manispaa ni shs ngapi?
Takukuru fanyeni uchunguzi wenu, msiniulize source.
Au wanaharakati wa haki Ardhi wafanye uchunguzi waje na majibu hapa. Nimewang'ata sikio. shtuka, fuatilia
Wenyeji au watanzania wengine walio Arusha wakitaka ardhi ni ngumu sana.
Ni mbunge wa jimbo sawa na Thithiem walilopoteza jana -Ar Magh
Anauza heka moja dola 50,000 - hatari tupu. Hizo hela zinaingia manispaa? je ardhi iliyopimwa na manispaa ni shs ngapi?
Takukuru fanyeni uchunguzi wenu, msiniulize source.
Au wanaharakati wa haki Ardhi wafanye uchunguzi waje na majibu hapa. Nimewang'ata sikio. shtuka, fuatilia
Wenyeji au watanzania wengine walio Arusha wakitaka ardhi ni ngumu sana.
Ni mbunge wa jimbo sawa na Thithiem walilopoteza jana -Ar Magh