dah hii nizaidi yamitego

dah hii nizaidi yamitego

chriss mattar

Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
10
Reaction score
1
kuna binti najibebea mzigo ila kanapenda kunitega anawapa rafki zake namba yangu ili wanitokee nashindwa nifanyeje.
 
Ana mpango wa kukutema huyo, kagundua kasoro zako mapemaaa!
 
kuna binti najibebea mzigo ila kanapenda kunitega anawapa rafki zake namba yangu ili wanitokee nashindwa nifanyeje.

Anahisi wewe ni domo zege na ulimpata kwa kumuotea kwahiyo anajiFeel mnyonge ndiyo maana anataka akuone kama kweli wewe ni kidume.

Watongoze hao marafiki zake ili umrudishie imani iliyoanza kupotea.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
sio kwamba anakutega! huyo binti na mashosti wake lao moja...anataka uwe huru kutembea nao wote kwa maana hayuko kwako kimapenzi kwa dhati. vile anavyokuchuna anataka na mashosti zake nao mikono yao iende kinywani (pesa yako baba ndo inatakiwa tu). nahisi hao ni mabinti wa chuo maana ndo zao hizo!
 
...nipe namba yake, hatakufanyia hivyo tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom