Dada zangu tusipende sana SINGELI, mwenzenu amenusurika Tandale wahuni walitaka kufanya yao.

Evans-Arsenal

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
868
1,385

Yaani dada mtu mzima hivyo unajilegeza na unaweka mzigo wako mbele ya Wavulana zaidi ya 8 kweliii!!!!

Dada zangu mnaopenda kwenda kwenye vigodoro na singeli hebu tuachage hizo tabia na kwenye Singeli tuache sasa maana mambo yanayotokea huko kuna wenzenu dairly wanabakwa na wengine kudhalilishwa na wanaume lakini kama unaona sawa basi endeleeni kwenda tu, maana kla mtu ana maamuzi yake..


Nawasilisha..!
 
Katika hii video hakuna aliyetaka kubakwa ni kubambiwa tu wakati wa kucheza ishu ambayo ni kawaida. Mmiliki wa akaunti ya youtube ameweka title ya uongo ili watu waitizame video.
 
Back
Top Bottom