God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
Habari.
Natafuta dada wa kuuza mgahawani.
Awe na sifa zifuatazo
1/Awe na miaka isiyopungua 15 na isizidi 20
2/Awe mchapakazi haswa, Aweze kufanya kazi kwa muda mrefu, kuanzia saa 12 asubuhi hadi sa 5 usiku kama wateja watakwepo
3/Awe na nidhamu ya hali ya juu, napenda zaidi mtumishi wa Mungu ili twende sawa. Mimi sipendi mhuni.
4/Awe msafi na mgahawa uwe safi muda wote.
5/Awe na lugha nzuri ya ushawishi, uhudumu pamoja na yote yale ya kuwavutia wateja karibu zaidi
6/Ajue kupika vyakula vitamu na vyenye ladha ya kimataifa.
-Muda wa kazi ni ni siku zote za kazi ila wikendi atapumzika ili afanye mambo yake binafsi.
-Aje na picha 4 za paspoti na barua ya mwakilishi wa nyumba 10 na mtendaji wa kijiji/mtaa anaoishi.
-Eneo la kazi ni maeneo ya chuo.
-Chumba cha kulala kipo na mahitaji yote muhimu ya binadamu yapo.
-Mshahara tutaongea.
-Mgahawa ni mkubwa kiasi.
NB: Vigezo na masharti kuzingatiwa! Iwapo unavigezo ni pm.
Natafuta dada wa kuuza mgahawani.
Awe na sifa zifuatazo
1/Awe na miaka isiyopungua 15 na isizidi 20
2/Awe mchapakazi haswa, Aweze kufanya kazi kwa muda mrefu, kuanzia saa 12 asubuhi hadi sa 5 usiku kama wateja watakwepo
3/Awe na nidhamu ya hali ya juu, napenda zaidi mtumishi wa Mungu ili twende sawa. Mimi sipendi mhuni.
4/Awe msafi na mgahawa uwe safi muda wote.
5/Awe na lugha nzuri ya ushawishi, uhudumu pamoja na yote yale ya kuwavutia wateja karibu zaidi
6/Ajue kupika vyakula vitamu na vyenye ladha ya kimataifa.
-Muda wa kazi ni ni siku zote za kazi ila wikendi atapumzika ili afanye mambo yake binafsi.
-Aje na picha 4 za paspoti na barua ya mwakilishi wa nyumba 10 na mtendaji wa kijiji/mtaa anaoishi.
-Eneo la kazi ni maeneo ya chuo.
-Chumba cha kulala kipo na mahitaji yote muhimu ya binadamu yapo.
-Mshahara tutaongea.
-Mgahawa ni mkubwa kiasi.
NB: Vigezo na masharti kuzingatiwa! Iwapo unavigezo ni pm.
