Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,807
- 11,485
Habari zenu waungwana,
Dada wa kazi anahitajika awe anapatikana Dar es Salaam kwa sasa. Awe mjuzi hasa wa mapishi. Ni anakaa na mtu mmoja pekee mzee wa makamo. Awe msafi na mstaarabu. Mhitaji ni muungwana sana. Atampa huduma zote kama binti yake. Kama yupo tafadhali nitafute kwenye uwanja wangu wa message. Shukrani!
Dada wa kazi anahitajika awe anapatikana Dar es Salaam kwa sasa. Awe mjuzi hasa wa mapishi. Ni anakaa na mtu mmoja pekee mzee wa makamo. Awe msafi na mstaarabu. Mhitaji ni muungwana sana. Atampa huduma zote kama binti yake. Kama yupo tafadhali nitafute kwenye uwanja wangu wa message. Shukrani!