Dada ukipata wakati soma kitabu hichi .


Jamani samahanini kuingia jukwaa la akina dada, lakini kwa kweli hiki kitabu kinanipa mashaka ya kuharibu watu. Mchezo gani huo mnaouita self-love? Mnategemea sisi wanaume tukaenjoy wapi wakati ni wazi kuwa tuna haki ya kupata faraja toka kwenu? Mtaifundishaje jamii juu ya upendo wakati mnata kujichezea wenyewe? Na familia nazo, mtazianzisha vipi? Kwa nini mnataka kuharibu saikolojia zenu na kupingana na kazi za Mungu?

Nashauri acheni haraka, mtupe kilicho haki zetu! :A S-frusty2:
 
mmmh, hiki kitabi sio tishio kwa ME kweli?
one is not a substitute for the other. they are complementary (according to the book)
 
Mi sihitaji kitabu wala nini, najua hiyo, nikizidiwa nafanya sana tu,hasa nikiwa safarini kwa muda mrefu,ila ukimaliza unajisikia aibu kama mtu anakuona vile, unappepesa macho kama mwizi wa kuku vile hahahahaa lolest
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…