Dada yuko ama late 20s ama early 30s hivi. Inaelekea dada hataki masihara kwenye suala la mahusiano kwa sasa, maana anaona ishafika saa 10 jioni. Jua karibu linazama kiumri na menopause inapiga hodi.
Pamoja na dada kuchukua tahadhari ya kutotaka kumegwa hovyo, lkn alikutana na mjanja aliye muingiza mjini. Mkaka aliji-position vizuri, akamnasa mdada kiulaini sana huku akimpa ahadi za uhakika wa kumuoa.
Dada aliposikia ahadi hiyo inayo mnyima usingizi akaingia kwenye mikono ya njemba kwa miguu 2. Njemba ikaonyesha utulivu wa akili mpk dada akaamua kumpa hubby to be kitumbua ili apoze njaa. Basi kama ilivyo kawaida mlamba asali halambi mara moja. Dada alimegwa mara kibao mpk njemba ikazijua kona zote za kisima.
Ikafika siku njemba akawa amemchoka mdada wa watu, akaanza kutopokea SIM, akawa hajibu sms na vituko vingine vingi. Siku ya 1, ya 2, ilipofika ya 3 dada akajikoki mpk kwa njemba, akihofia kuwa pengine njemba ana tatizo.
Akamkuta akiwa salama salmini. Dada akauliza kulikoni? Akajibiwa "nilitaka kupima oil tu, it is over now". Dada akapaniki, akalia lkn wapi bwana. Njemba ikakomaa.
Wambea tukajazana. Kama ilivyo desturi huku uswazi huwa hatupitwi. Tulipomdadisi njemba faragha kidogo njemba ikasema ina mchumba inayempenda kwa dhati.
Tahadhari akina dada, sometimes huwa mnajaribiwa tu msitoe vya uvunguni.
Pamoja na dada kuchukua tahadhari ya kutotaka kumegwa hovyo, lkn alikutana na mjanja aliye muingiza mjini. Mkaka aliji-position vizuri, akamnasa mdada kiulaini sana huku akimpa ahadi za uhakika wa kumuoa.
Dada aliposikia ahadi hiyo inayo mnyima usingizi akaingia kwenye mikono ya njemba kwa miguu 2. Njemba ikaonyesha utulivu wa akili mpk dada akaamua kumpa hubby to be kitumbua ili apoze njaa. Basi kama ilivyo kawaida mlamba asali halambi mara moja. Dada alimegwa mara kibao mpk njemba ikazijua kona zote za kisima.
Ikafika siku njemba akawa amemchoka mdada wa watu, akaanza kutopokea SIM, akawa hajibu sms na vituko vingine vingi. Siku ya 1, ya 2, ilipofika ya 3 dada akajikoki mpk kwa njemba, akihofia kuwa pengine njemba ana tatizo.
Akamkuta akiwa salama salmini. Dada akauliza kulikoni? Akajibiwa "nilitaka kupima oil tu, it is over now". Dada akapaniki, akalia lkn wapi bwana. Njemba ikakomaa.
Wambea tukajazana. Kama ilivyo desturi huku uswazi huwa hatupitwi. Tulipomdadisi njemba faragha kidogo njemba ikasema ina mchumba inayempenda kwa dhati.
Tahadhari akina dada, sometimes huwa mnajaribiwa tu msitoe vya uvunguni.