Dabi ipo

Dabi ipo

Achana na hao walamba lips😂. Wanatishia nyau?. Yaani wanamtishia Karia aliyewaokoa trh 8. Simba hana ubavu wala sababu za msingi anachoshindwa kuwaambia mashabiki wake nikuona aibu tu!!
 
Binafsi ningekua kiongozi hawa majamaa kwenye ratiba mechi ya ufunguzi na ya mwisho wa ligi ndio nawapanga ili mechi za hapa katikati wafanye madudu yao wanayojua wenyew halafu tuone kama kuna timu itakataa kucheza mechi ya kufunga ligi
 
Back
Top Bottom