DavidHard
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 435
- 273
Wazungu walitengeneza mtambo wa kuesabu idadi ya vibaka na wezi katika nchi.mtambo ukaletwa Afrika kufanyiwa majaribio}Nchi ya kwanza ilikuwa Nigeria mtambo ukasoma vibaka&wezi 900000/minute,Uganda 987520/minute,Kenya 874529/minute.wakaamua waje Tanzania ILE UMEFUNGWA BONGO TU NDANI YA SEKUNDE 30 KWENDA KUANGALIA UMEFIKIA WAPI WALIBAKI VINYWA WAZI MAANA MTAMBO WENYEWE ULISHAIBIWA KITAMBO!!! Zoezi likasimamishwa.