Sheria zipo. Tangu lini vyama vya hiari vimegeuzwa kuwa wanyang'anyi wa fedha ya mwl. bila hiyari.? Amini uanachama si lazima, pia kuanzisha chama kingine ruksa. Tuhamasike tujitoe ndipo CWT itajua kuwa ilijisahau kutetea walimu. Mwisho aminini kuwa hata mgomo huo unao hubiriwa na Mkoba ni viini macho vya kumfanya yeye avute mshiko. Mkoba na .......... damu damu!.