CWT kishakufa walimu wanamtafuta msimamia haki zao

CWT kishakufa walimu wanamtafuta msimamia haki zao

Posho kwa walimu ni ndoto isiyowezakutokea,kwanza wako wengi,pli ni watu wasiojitambua,tatu wengi ni waliofell sec,nne hawana umoja,tano wana uwezo mudogo ktk kufanya maamuzi magumu,sita walimu wazee ni wabinafsi sana,saba wengi wako vijiji ni waoga.UKITAFUTA MTU WA KUMUONEA NCHI HII BASI NI MWALIMU
 
Posho kwa walimu ni ndoto isiyowezakutokea,kwanza wako wengi,pli ni watu wasiojitambua,tatu wengi ni waliofell sec,nne hawana umoja,tano wana uwezo mudogo ktk kufanya maamuzi magumu,sita walimu wazee ni wabinafsi sana,saba wengi wako vijiji ni waoga.UKITAFUTA MTU WA KUMUONEA NCHI HII BASI NI MWALIMU

Umenena vyema walimu wengi awana uelewa wa mambo mbalimbali ya nchi na kwakua wengi wako vijijini wanaishi kwa maagizo ya mkurugenzi tu awawezi kuhoji kitu.
Ni vyema chama cha walimu kikatengwa kutokana na kurugenzi wa msingi wa baki kivyao na wasekondari kivyao utaona jinsi wa sekondari wanavyo shughulikiwa.kuwatetea walimu wa msingi ni risk ata kwa kiongozi unaweza kufukuzwa kazi bureee.maana watu awana misimamo.waoga mwisho utaonekana mchochezi.
 
si kwamba walimu hawana uelewa hilo mi nakataa,walimu ni watu wenye uelewa mkubwa isipokuwa kuna kundi ndani yao ndio wanaorudusha wenzoa nyuma kundi hili wamo waliofoji vyeti,wapo waoga,wapo wanafki,wasaliti.kwa namna yoyote ile ukomboz kwa walimu utachelewa mpk mshikamano utakapo imarika,kuhusu cwt ni bora kuifuta na kila mkoa au kanda utengeneze mfumo wao wa utatuzi wa kero zao hii itasaidia kuepuka kuliwa michango yao na hcho kinachoitwa cwt ambacho kinasimamiwa na wezi
 
Anzisheni chama kipya kisichokuwa na mapandikizi kikisha sajiriwa muamrisheni mwajiri wenu apeleke makato huko muanze upya, huyo mkoba sasa hivi anaule huko tucta hana habari na shida zenu , nchii hii ile divide and rule bado ipo.
 
umefanya utafiti juu ya mambo na maoni yako hayo? au unasema tu kwa sababu una kinywa??,
 
walimu wakitaka wajikomboe someni sana, na kusoma si kwenda darasani ie vyuo no ingueni library

Haki ya mtu si lazima uidai katika vikundi. Kama una hoja nzito Mahakama ya Ajira ipo na wasoikuwa waalimu hujazana pale kila kukiha kutafuta haki yao na wanaipata.

Walimu wanaendelea kubweteka na vyama vya wafanyakazi badala ya wao mmoja mmoja kufungua kesi Mahakamani. Watakufa na madai yao.
 
...hiv cwt n nn hasa...nadhan ifike mahal walimu waanzishe professional board yao km ilivo kwa wahasibu...wakandaras..madaktar..etc...kuwe na professional board ya walimu na kuwe na examz wataheshimika...cwt n kama chama cha ushirika tu...free entry free exit...
 
Back
Top Bottom