CV za wabunge wa kundi la 120

CV za wabunge wa kundi la 120

pinno

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
1,213
Reaction score
1,233
Wandugu.

Ni tetesi kuwa Dr JK alitumia madaraka alopewa ya kuchagua wajumbe wa 210 kwa kuchagua makada wa CCM kwa asilimia zaid ya 90 kwa lengo la kufanikisha ajenda ya CCM

Wajumbe hao,ambao kwa hali ya kawaida na kisheria ilibid wawakilishe makundi husika ya jamii ,inasemakana kuwa ile ilikuwa geresha tu .

Sasa Najua there is nothing we can do about it ,mchakato umeshafika mbali sana lakin kwa kuitendea heshima historia ili mwisho wa siku tuwe na record iliyokamilika ya watu walioitendea mema au maovu nchi hii .

Naomba yeyote mwenye kujua CV ya mjumbe yeyote wa 120 hasa hasa in relation to political affiliation .

Kwa kuanza mimi ninajua hawa.

1.Jesca Msambatavangu: aliingia BMK kwa ticket ya kundi la malengo yanayofanana, lakini yeye ni Mwenyekiti CCM Mkoa Iringa

2.Kingunge Mwiru: Ticket ya taasisi zisizo za serikali , lakin ni kada maarufu wa CCM

3. Paul Makonda: Malengo yanayofanana, Ni kiongozi wa UVCCM

.....
.....
 
Anastaz Mpanju ,mlemavu lakin ni kada na makereketwa wa Magamba ,
Wapo wengi aisee ngoja jamaa waje
 
Hapo kwenye wekuakndu ndiyo shida kubwa ya Watanzania ilipo. Kila maamuzi yanagharama. Unaweza kulisha watu sumu ili mradi washibe huku ukijua, kisa unaogopa kupoteza muda na fedha ulizotumia kununulia chakula hicho?

Kupitsha katiba ya kifisadi ni kusaini mauti ya watanzania kwa kitanzi ccm ya mafisadi. Ni afadhali tuingie hasara ya fedha za BMK, tuokoe vizazi kutoka kwenye dhruma na uharamia endelevu wa ccm ambao utawamaliza iwapo katiba hii itapitishwa.

Hasara utakayokuwa umeliingizia taifa kwa kukubali likatiba la kifashist kupita, itakuwa ni mara mia zaidi ya gharama na muda wa BMK.

Hata kama mchakato umefika mbali, umefika mbali isivyo sahihi, ni sawa na mkaanga chips za sumu ambazo karibu anaipua na kuzipeleka kwa walaji. Ni afadhali kumwga hizo chips na kuwaokoa walaji bila kujali gharama, kuliko kuwaacha wale sumu ile kwa kujali muda na gharama za matayarisho na mapishi ya hiyo sumu.

Maisha ya Watanzania ni zaidi ya fedha zilizokwibwa BMK. Lakini pia, zingatia kwamba wizi ni karma ya ccm. Wamekwiba na wanaendelea kwiba, hata bila BMK. Kama katiba itaidhinisha ufisadi huu, nchi hii itabaki na nini?

Tuliokoe taifa kwa kuikataa katiba hii ili mafisadi wasiendelee kutesa watoto wetu.


Wandugu.


Sasa Najua there is nothing we can do about it ,mchakato umeshafika mbali sana lakin kwa kuitendea heshima historia ili mwisho wa siku tuwe na record iliyokamilika ya watu walioitendea mema au maovu nchi hii .

Naomba yeyote mwenye kujua CV ya mjumbe yeyote wa 120 hasa hasa in relation to political affiliation .


.....
.....
 
Ni kweli unachosema,
Something has to be done, ila najiona kama nimechelewa kuquestion uhalali wa hawa jamaa leo, nadhan ni kitu ambacho hatukupaswa kukiruhusu tangu mwanzo, pengine ingesaidia kuleta balance katika bunge, mambo ya mtu anaewakilisha walemavu wa CCM badala ya kuleta mtu anaewakilisha walemavu wa Tanzania ndo madhara yake tumeyaona.

The blood price question is Tutafanya nini??
 
Tuanze na kuikataa katiba hii ya mtego. Pili tuiondoe ccm madarakani ili tuwe na seriakli itakayojenga nchi kwa misingi ya utaifa, halafu tuandike katiba ya watanzania isiyo na hila.


Ni kweli unachosema,
Something has to be done, ila najiona kama nimechelewa kuquestion uhalali wa hawa jamaa leo, nadhan ni kitu ambacho hatukupaswa kukiruhusu tangu mwanzo, pengine ingesaidia kuleta balance katika bunge, mambo ya mtu anaewakilisha walemavu wa CCM badala ya kuleta mtu anaewakilisha walemavu wa Tanzania ndo madhara yake tumeyaona.

The blood price question is Tutafanya nini??
 
Back
Top Bottom