H hans79 JF-Expert Member Joined May 4, 2011 Posts 3,800 Reaction score 431 Jul 12, 2012 #21 Au alikuwa kalewa? Si amfuate yule alotemwa na mkewe.
T Tafadhali Member Joined Jul 23, 2011 Posts 51 Reaction score 2 Jul 12, 2012 #22 Uyo Josephine Mwenyewe mcharuko,nae arudi kwa mumewe,mwacheni rozi Wa watu apewe haki zake wala Hana haja na presidaa mtarajiwa anataka haki za wanawe acheni uzushi na kufikiri kwa masaburi
Uyo Josephine Mwenyewe mcharuko,nae arudi kwa mumewe,mwacheni rozi Wa watu apewe haki zake wala Hana haja na presidaa mtarajiwa anataka haki za wanawe acheni uzushi na kufikiri kwa masaburi