CV ya Mkulu wa Bangoi (JK)

kumbe ni kichaa ana tatizo huyu

Minister for energy and minerals -JK akaingiza nchini IPTL inayoendelea kukwangua mpaka leo, akaingiza mkataba tata na kinyonyaji wa bulyankulu utawanyonya watanzania miaka 200 ijayo na kuacha mashimo bila barabara nzuri, maji, vyuo, zahanati nk..

Minister for foreing affairs and cooperation -hapo ndipo mikataba mingi mibovu ilipoingia inchini na sasa tunataaabika

Member of Parliament -waulize chalinze na bagamoyo walifaidika na nini harafu uwaulize watu wa karatu wamefaidika na nini?

wakati slaa anafichua mafisadi list of shame kama mbunge kikwete anawaficha na kuwalinda mafisadi kama rais ikiwa ni pamoja na kuwaombea kura kwa wananchi wachaguliwe.

wakati slaa anapigania malsahi bora kwa wafanyakazi kama mbunge kikwete kama Rais yupo teyari kuwaponda virungu wakiandamana kudai haki zao

wakati slaa anaongelea afya na elimu bora kwa maskini wa Tanzania kama mbunge kikwete anabagua aliyepata first class ndio adhaminiwe

wakati slaa anaongelea reli ya mwendo kasi ya kati kiwkete anaongelea viwanja vya ndege kila mkoa -

wakati slaa anaongelea katiba mpya -kikwete amekurupuka kuunda tume

tuwapime watu hawa kwa umakini wao na sio maisha binafsi manake kwa kufanya hivyo itakuwa ni kumtusi slaa kumlinganisha kimaadili na viongozi hawa walioshindwa kuongoza nchi.
 
Si unaona CV ya Rais inavyo takiwa kuwa, sasa Slaa na ye amwage ya kwake. Hapo ndipo mtakapo jua mwalinganisha mlima kilimanjaro na kichuguu

Natia shaka kubwa juu ya uelewa wako kwenye masuala ya kitaifa! Unajivunia na kuisifia CV kama hiyo?????????????? pole sana.
 

Mwinyi alimteua kuwa mbunge wa Taifa na kumpa uwaziri hiyo 1988
 
Mbona kwenye accomplishments kwenye website yake hakuna kitu, au mi macho yangu mibovu?
 
JK is too ccm. Tht's why he can't think of d nation. He only think of ccm.
 
GAGAGIGIKOKO said:
FROM 1986-1988 Nachingwea and Masasi Districts (CCM) Secretary General TO 1988-1990 Deputy Minister for Energy and Minerals
Hapa ndipo tatizo lilipoanzia!!

Exposure ya Katibu wa chama (Wilaya), ambaye hajafanya kazi za umma hata siku mmoja ukihacha zile za propaganda za chama, haitoshi kamwe kumfanya mtu awe na uwezo mzuri wa kutoa maamuzi katika wizara nyeti ya Nishati; nadhani Katiba mpya itafaa kuliangalia hili!

Ni wazi kabisa JK aliingia mikataba mibovu alipokuwa Nishati kwa sababu ya "lack of exposure and professionalism". Walau angepata kimoja kabla ya hiyo post basi kungekuwa na tofauti katika maamuzi. Tatizo linakuja pale ambapo tayari amefanya kosa na wafuasi wake wameshavaa miwani ya mbao. Hapo hata nchi ikizama bado mapambio yataendelea.
 
wekeni basi CV za Prof Ibrahim Lipumba.. mtu wa shoka
 
Si unaona CV ya Rais inavyo takiwa kuwa, sasa Slaa na ye amwage ya kwake. Hapo ndipo mtakapo jua mwalinganisha mlima kilimanjaro na kichuguu

What's the point if he can't deliver??? We need results.... and not dirty flamboyant CVs!!!
 

CV kachakachua
 
Huwa najiuliza sana kwa graduate kuwa mwajili wa chama enzi za miaka ya 70??????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! alafu baadae kuwa mjedaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kuzaliwa. Elimu ya msingi na sekondari
.slaa alizaliwa tarehe 29 oktoba 1948 katika wilaya ya karatu. Alipata elimu ya msingi katika shule za karatu na kwermusi (mbulu) kati ya mwaka mwaka 1958 na 1965. Alisoma elimu ya sekondari katika shule za dung'unyi seminari na itega seminari kati ya mwaka 1966 na 1971.
Mafanikio ya slaa kielimu na kitaaluma
slaa ana shahada na stashahada zifuatazo
1.shahada ya uzamivu (phd) katika sheria ya kanisa kutoka chuo kikuu cha st. Urban. Rome
2.stashahada ya theolijia kutoka kipalapala seminari
3.stashahada ya falsafa kutoka kibosho seminari
4.stashahada ya afya ya macho kutoka kituo cha kimataifa cha macho
mafanikio ya slaa kikazi na kitaalamu
willibrod peter slaa amefanya kazi katika maeneo na sehemu mbalimbali. Baadhi ya nyadhifa alizoshika na kazi alizofanya ni hizi zifuatazo:
1.mkurugenzi mtendaji. Chama cha wasioona tanzania. 1992-1998
2.katibu mkuu, baraza la maaskofu tanzania (tec), 1985-1991
3.mkurugenzi wa maendeleo (jimbo katoliki la mbulu). 1977-1979-1982-1985
4.padri wa kanisa katoliki kuanzia 1977-1978-1979-1980-1981-1982-1983-1984-1985
vitabu alivyoandika
1.utimilifu wa msichina (1977)
2.utimilifu wa mvulana (1977)
3.expediency and exigency liturgical legislation (1981)
uzoefu wa slaa kisiasa
slaa ana uzoefu wa muda mrefu katika shughuli za kisiasa. Baadhi ya nyadhifa alizoshika ni hizi zifuatazo:
1.mbunge wa karatu miaka 15, kutoka 1995 hadi 2010
2.katibu mkuu wa chadema. 2002 hadi sasa
3.makamu mwenyekiti taifa wa chadema. 1998-2002
4.mjumbe wa kamati kuu na baraza kuu wa chadema kutoka 1995 hadi sasa
 
Wana FR naomba mnipambanue,mbona nasikia akina Ridhiwan yule mama Salma si mama yao,au amezaa wote 8 na mama Salma alafu kuna wengine waliozaliwa na Ridhiwan basi atakuwa ni balaa,kidume cha mbegu,alafu elimu yake itakuwa haijamkomboa watoto wote wa nini usawa huu.

CV yake haitishi kivile,kumbe hana Masters yeyote ya kusomea.
 
Tunaijua ile ya udini na ukabila, kama ni hivyo nimekuelewa hata mie, kazi ipo !

GeniusBrain, wewe ni mzaramo tu! huijui CV, umeisikia tu kwa watu mitaani, kwa taarifa yako CV ni document ambayo waajiri wanatumia kumpata candidate anayefaa kwa kazi iliyotangazwa. Baadhi ya vipengele vya CV:
1.Personal information ( jina, tarehe ya kuzaliwa, anwani, simu, marital status nk)
2.Education Background (Kikwete BA econonics, DR Slaaa PhD religious law)
3.Work Experience (Kikwete never worked as economist, Dr Slaa worked as a Priest)
4. Other experience outside profession (Kikwete politician, Dr Slaa politician)
5. Responsibilities and outcome (Kikwete: CCM district & regional secretary, Member of paliarment, minister, president ,OUTCOME?? Dr. Slaa: Member of parliament, Chadema secretary general OUTCOME socioeconomical improvement in karatu, Chadema now main opposition part)
6. Research and Presentations (Kikwete hakuna, Dr. Slaa research na presentantion ya masters and PHD)
7. Interests (kikwete?? Dr slaa??)
8. References
Kawaida waajiri watawaita candidates na kuwapiga interview wakikazia majukumu yaliyotangulia ya watahiniwa na matokeo ya majukumu yao. Haitoshi mtahiniwa kusema tu kuwa mimi nilikuwa waziri wa fedha, waajiri watakuwa interested kujua mafanikio na failures za uwaziri wake. Wananchi wa Watanzania ndo waajiri wa Rais wa Tanzania na wanatangaza kazi hiyo kwa mujibu wa katiba kila baada ya miaka mitano. Wananchi wanapima majukumu ya wagombea waliyokuwa nayo na matokeo ya majukumu yao, watanzania walifurahishwa na utendaji wa Dr slaa bungeni vs. Kikwete ambaye alikuwa raisi na kumchagua Dr Slaa kuwa raisi mpya, lakini CCM na NEC walikuwa na ajenda ingine ya uchakachuaji na utumiaji nguvu za dola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…