Tunaijua ile ya udini na ukabila, kama ni hivyo nimekuelewa hata mie, kazi ipo !
GeniusBrain, wewe ni mzaramo tu! huijui CV, umeisikia tu kwa watu mitaani, kwa taarifa yako CV ni document ambayo waajiri wanatumia kumpata candidate anayefaa kwa kazi iliyotangazwa. Baadhi ya vipengele vya CV:
1.Personal information ( jina, tarehe ya kuzaliwa, anwani, simu, marital status nk)
2.Education Background (Kikwete BA econonics, DR Slaaa PhD religious law)
3.Work Experience (Kikwete never worked as economist, Dr Slaa worked as a Priest)
4. Other experience outside profession (Kikwete politician, Dr Slaa politician)
5. Responsibilities and outcome (Kikwete: CCM district & regional secretary, Member of paliarment, minister, president ,OUTCOME?? Dr. Slaa: Member of parliament, Chadema secretary general OUTCOME socioeconomical improvement in karatu, Chadema now main opposition part)
6. Research and Presentations (Kikwete hakuna, Dr. Slaa research na presentantion ya masters and PHD)
7. Interests (kikwete?? Dr slaa??)
8. References
Kawaida waajiri watawaita candidates na kuwapiga interview wakikazia majukumu yaliyotangulia ya watahiniwa na matokeo ya majukumu yao. Haitoshi mtahiniwa kusema tu kuwa mimi nilikuwa waziri wa fedha, waajiri watakuwa interested kujua mafanikio na failures za uwaziri wake. Wananchi wa Watanzania ndo waajiri wa Rais wa Tanzania na wanatangaza kazi hiyo kwa mujibu wa katiba kila baada ya miaka mitano. Wananchi wanapima majukumu ya wagombea waliyokuwa nayo na matokeo ya majukumu yao, watanzania walifurahishwa na utendaji wa Dr slaa bungeni vs. Kikwete ambaye alikuwa raisi na kumchagua Dr Slaa kuwa raisi mpya, lakini CCM na NEC walikuwa na ajenda ingine ya uchakachuaji na utumiaji nguvu za dola.