Zungu Pule
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 2,218
- 1,215
Check your facts properly!!
Sijakusoma. That Prof. Juma is not an economist? Whatever! The msg is that the guy support the idea of doubling aid to Africa.
Check your facts properly!!
najiulizana sana kwamba endapo misaada ya kigeni itasitishwa:
a. tutaendelea kuwa na NGOs nyingi hivi?
b. Je watanzania wanaweza kujitolea fedha zao kufanya kazi za kujitolea?
c. Itakuwaje kwenye misaada ya visima iliyoanzishwa na fedha za wahisani, tutamudu kuiendeleza?
d. Vipi kuhusu miradi mingine inayosapotiwa na wahisani nayo itakuwaje?
Ngoja nisaidie kuufufua huu uzi...Haya ya MCC yalijadiliwa sana humu!
Angalizo lilitolewa mapema kuwa Misaada sii dawa ya kutuondoa kwenye umaskini Tanzania!
Yabidi tu tusimame kwa miguu yetu!
Hakuna nchi imepunguza, licha ya kuondoa umaskini kwa kupitia misaada. Misaada ni mazalio ya uzembe na kubweteka! Unafikiri kina Mkullo wanawaza sana jinsi ya kuongeza pato la ndani? Wanafanya upembuzi wa kina kutafuta vyanzo badala vya kuongeza pato? Kwanini wasumbue akili zao wakati kuna mahali "wataonewa huruma" watarushiwa 40% au which ever %!
Na tusisahau misaada hii hawana mtu wa kuwawajibisha nayo...mkiuliza mnaambiwa si kodi yenu! Lakini ni umaskini wenu, % za wasiofikiwa na huduma za afya, elimu, na social service zitakazowafurahisha donor na picha za kusikitisha za watanzania walala hoi zinatumika kuomba misaada hii. Hata watu wakikwepa kulipa kodi kwao ni ahueni ili wasibanwe na kuwajibishwa. Wapo tayari kujibu kwa donors na si kwa waliowaweka madarakani! Nguvu ya kisiasa wananchi wanayo pale tu wanapowapigia kura baada ya hapo wapiga kura wao wanageuka donors wanawajibika kwao si kwa watanzania
Misaada ni laana
Ni kweli yatupasa kusimama wenyewe lakini ni muhimu kuwa na mipango, tuache porojo na kudanganyana. Nia ya mheshimiwa Magufuli ni nzuri saaaaaana na naiunga mkono lakini tuwe na mipango, nchi haijitegemei.kwa kutumbuana majipu bali kwa sera na mipango madhubuti na endelevu.Haya ya MCC yalijadiliwa sana humu!
Angalizo lilitolewa mapema kuwa Misaada sii dawa ya kutuondoa kwenye umaskini Tanzania!
Yabidi tu tusimame kwa miguu yetu!
Dambisa Moyo, mchumi mkongwe wa Havard na raia wa zambia anasema kuwa nxhi zinanzopokea misaada sana inashindwa kuwajibika kwa wananchi wake. Pili inaonekana pia nchi kama hizi huwa watu wake hawalipi kodi inavyostahiki.. hivyo inakosekana check and balance mechanism. Wananchi wanashindwa kuiwajibisha serikali sababu hawana uchungu na pesa za kodi.. hivyo corruption inakosa muangalizi sahihiYawezekana nchi inayopokea misaada mingi ya kigeni kuwa na corruption ya kiwango cha juu? kwanini?