Customer Care Airtel are Incompetent

Customer Care Airtel are Incompetent

kiss cool

Member
Joined
Aug 17, 2014
Posts
67
Reaction score
19
Nimefanya malipo toka 24.08. ya 800,000 mtandao wenu ukasumbua. Nikawapigia mkaahidi mtarejesha nimepiga mara kadhaa kila mhudumu ukimweleza tatizo anakuambia kata upige tena.

Kumbuka kila ulipiga unakatwa hela taslimu na sio dakika za kujiunga. Tafadhali toeni taarifa rasmi na naangalie the way I can sue you either through TCRA
 
Costumer care wanaboa sana.
Nimefanya malipo toka 24.08. ya 800,000 mtandao wenu ukasumbua. Nikawapigia mkaahidi mtarejesha nimepiga mara kadhaa kila mhudumu ukimweleza tatizo anakuambia kata upige tena.

Kumbuka kila ulipiga unakatwa hela taslimu na sio dakika za kujiunga. Tafadhali toeni taarifa rasmi na naangalie the way I can sue you either through TCRA
 
wananyodo haoo. Wanajiona wamefika. Me niliwatosa kitambo sana baada ya kujibiwa kijingajinga. Sijui wanawaokota wapi hao mabinti wa Customer care ?!
 
Back
Top Bottom