Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,299
- 4,700
Miaka ya 1990 wakati mfumo na chaguzi za vyama vingi zimeanza, CUF waliibuka kuwa chama imara sana, hasa kule Visiwani. Walipata umaarufu sana kwa misimamo yao, hasa pale wapoleta usemi mpya, "ngangari". Mwaka 2001 CUF kwa misimamo yao walipiga kura kwa wagombea wao kwenye viti vya uwakilishi licha ya kwamba hawakuwepo na kujulikana kama kura za "maruhani". Kuna kipindi fulani, aliyekuwa Mkuu wa jeshi la Polisi, Omar Mahita, alisema kama CUF ni ngangari basi polisi ni "ngunguri".
Fast-forward 2015-16: CUF wamesusa. Sifa yao ya kuwa ngngari imesaidia chochote? Au wamepoteza muda mrefu kuwa na sifa ya ngangari tena? Ni hatima na majaliwa ya CUF kisiasa?
Fast-forward 2015-16: CUF wamesusa. Sifa yao ya kuwa ngngari imesaidia chochote? Au wamepoteza muda mrefu kuwa na sifa ya ngangari tena? Ni hatima na majaliwa ya CUF kisiasa?