Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,168
Ungeandika vizuri basi?Wakuu Kama habar inavyosomeka Ni miaka mingi kidgo imepita kwenye huu ugunduzi wa pesa mtandao yaan crypto currency Leo hii tarehe 13/6/2021 mh Samia Hassan suruhu amelihudubia taarifa katika ufunguzi wa bank kuu Kanda ya ziwa nakuongeza kuhamasisha MATUMIZI ya cryotocurrency.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ungeandika vizuri basi?
Nipo Muyama sijui inafanyaje kazi nami nawezaje kunufaika nayo huku kijijiniWakuu Kama habar inavyosomeka Ni miaka mingi kidgo imepita kwenye huu ugunduzi wa pesa mtandao yaan crypto currency Leo hii tarehe 13/6/2021 mh Samia Hassan suruhu amelihudubia taarifa katika ufunguzi wa bank kuu Kanda ya ziwa nakuongeza kuhamasisha MATUMIZI ya cryotocurrency.
Nawe unasema au unauliza?[emoji378]Ungeandika vizuri basi?
Nyau kala paka....hahhaaaa haaahaa,raha ya danganyika!!!Nawe unasema au unauliza?[emoji378]
Jifunze kusoma. Alama hii (?) Inaashiria nini.Nawe unasema au unauliza?[emoji378]
Nadhani muhimu ni hoja yake japo ni kweli uandishi wake unachangamoto.Huu uandishi ni kama tumbo la kuhara aisee.
Sio kamari mkuu. Ni uwekezaji.Mi sielewi,Mbona kama aina ya Kamari Iliyoboreshwa?