CRISSMASS PANDO LA MWANADAMU

CRISSMASS PANDO LA MWANADAMU

Jackwillpower

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2017
Posts
2,539
Reaction score
3,860
Huyu ndo Baby Jesus aliyesherekewa jana na mabilioni ya wakristo.

This is Blesphemes: Kwanini unamwabudu Yesu ambaye kila mwaka anakuwa mtoto?, Yesu anayebebwa na mwanadamu leo? na si yule Yesu wa Nazaret aliyembinguni katika mkono wa kuume wa Mungu mwenyezi?

Nani alikuagiza kufanya hivyo huku mitume wala wakristo wa awali hawakufanya hivyo? Hata wao wanakiri hivyo:-

Ensaiklopidia ya Kikatoliki, toleo 1911, inasema hivi juu ya “Krismasi”: “Krismasi haikuwa miongoni mwa sikukuu za mwanzo za Kanisa… Christmas was not among the earliest festivals of the Church (Martindale C. Transcribed by Susanti A. Suastika. Christmas. The Catholic Encyclopedia, Volume III. Copyright 1908 by Robert Appleton Company. Online Edition Copyright 2003 by K. Knight. Nihil Obstat, November 1, 1908. Remy Lafort, S.T.D., Censor. Imprimatur. +John Cardinal Farley, Archbishop of New York).

Sasa kama mitume na wakristo wa zamani hawakufanya hayo unafikiri huko salama? Tazama hapo chini:-

“Subtly…the old gods had entered their churches…And they live still in the festivals of Christianity.”-(Testament: The Bible and History, Romer, 1988, pp. 230-31). Tafsiri-miungu ya zamani iliingia katika makanisa yao na bado inaishi kwenye sherehe za kikristo.

Rafiki hata kama utasema nakuhukumu tambua tu unafanya ibada ya sanamu katika sura ya kikristo. Na haupo katika amri ya kristo bali mapokeo ya wanadamu, kifupi unaabudu bure.

Nao waniabudu bure,Wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu, Marko 7:7. Krismasi si amri ya Mungu—ni mapokeo ya wanadamu. Kristo aliendelea, “Akawaambia, Vema! Mwaikataa amri ya Mungu mpate kuyashika mapokeo yenu” (Marko 7:9)

Sanamu zao ni fedha na dhahabu, Kazi ya mikono ya wanadamu. Zina vinywa lakini hazisemi, Zina macho lakini hazioni, Zina masikio lakini hazisikii, Zina pua lakini hazisikii harufu, Mikono lakini hazishiki, miguu lakini haziendi, Wala hazitoi sauti kwa koo zake. Wazifanyao watafanana nazo, Kila mmoja anayezitumainia. Zaburi 115:4-8

Fanya hima umrejee Yesu aliye hai aitwaye Kristo ili akupe toba na msamaha wa dhambi, na si huyu Yesu wa kutengeneza anayebebwa.
0065a93940be6bf30c0fbb33c4fd7052.jpg


Mungu akubarikie sana unapochukua hatua.
 
Huyu ndo Baby Jesus aliyesherekewa jana na mabilioni ya wakristo.

This is Blesphemes: Kwanini unamwabudu Yesu ambaye kila mwaka anakuwa mtoto?, Yesu anayebebwa na mwanadamu leo? na si yule Yesu wa Nazaret aliyembinguni katika mkono wa kuume wa Mungu mwenyezi?

Nani alikuagiza kufanya hivyo huku mitume wala wakristo wa awali hawakufanya hivyo? Hata wao wanakiri hivyo:-

Ensaiklopidia ya Kikatoliki, toleo 1911, inasema hivi juu ya “Krismasi”: “Krismasi haikuwa miongoni mwa sikukuu za mwanzo za Kanisa… Christmas was not among the earliest festivals of the Church (Martindale C. Transcribed by Susanti A. Suastika. Christmas. The Catholic Encyclopedia, Volume III. Copyright 1908 by Robert Appleton Company. Online Edition Copyright 2003 by K. Knight. Nihil Obstat, November 1, 1908. Remy Lafort, S.T.D., Censor. Imprimatur. +John Cardinal Farley, Archbishop of New York).

Sasa kama mitume na wakristo wa zamani hawakufanya hayo unafikiri huko salama? Tazama hapo chini:-

“Subtly…the old gods had entered their churches…And they live still in the festivals of Christianity.”-(Testament: The Bible and History, Romer, 1988, pp. 230-31). Tafsiri-miungu ya zamani iliingia katika makanisa yao na bado inaishi kwenye sherehe za kikristo.

Rafiki hata kama utasema nakuhukumu tambua tu unafanya ibada ya sanamu katika sura ya kikristo. Na haupo katika amri ya kristo bali mapokeo ya wanadamu, kifupi unaabudu bure.

Nao waniabudu bure,Wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu, Marko 7:7. Krismasi si amri ya Mungu—ni mapokeo ya wanadamu. Kristo aliendelea, “Akawaambia, Vema! Mwaikataa amri ya Mungu mpate kuyashika mapokeo yenu” (Marko 7:9)

Sanamu zao ni fedha na dhahabu, Kazi ya mikono ya wanadamu. Zina vinywa lakini hazisemi, Zina macho lakini hazioni, Zina masikio lakini hazisikii, Zina pua lakini hazisikii harufu, Mikono lakini hazishiki, miguu lakini haziendi, Wala hazitoi sauti kwa koo zake. Wazifanyao watafanana nazo, Kila mmoja anayezitumainia. Zaburi 115:4-8

Fanya hima umrejee Yesu aliye hai aitwaye Kristo ili akupe toba na msamaha wa dhambi, na si huyu Yesu wa kutengeneza anayebebwa.
0065a93940be6bf30c0fbb33c4fd7052.jpg


Mungu akubarikie sana unapochukua hatua.
Hangover ya pilau za kualikwa hizii
 
Masuala ya kuabudu sanamu yalinishindaga kwakweli... Pamoja na kusomeshwa na kulitumikia kanisa Katoliki miaka zaidi ya 17.

Sasa hivi niko dini ya haki isiyo na shaka ndani yake. Sitaki tena kusikia habari za Upadri.
 
Huyu ndo Baby Jesus aliyesherekewa jana na mabilioni ya wakristo.

This is Blesphemes: Kwanini unamwabudu Yesu ambaye kila mwaka anakuwa mtoto?, Yesu anayebebwa na mwanadamu leo? na si yule Yesu wa Nazaret aliyembinguni katika mkono wa kuume wa Mungu mwenyezi?

Nani alikuagiza kufanya hivyo huku mitume wala wakristo wa awali hawakufanya hivyo? Hata wao wanakiri hivyo:-

Ensaiklopidia ya Kikatoliki, toleo 1911, inasema hivi juu ya “Krismasi”: “Krismasi haikuwa miongoni mwa sikukuu za mwanzo za Kanisa… Christmas was not among the earliest festivals of the Church (Martindale C. Transcribed by Susanti A. Suastika. Christmas. The Catholic Encyclopedia, Volume III. Copyright 1908 by Robert Appleton Company. Online Edition Copyright 2003 by K. Knight. Nihil Obstat, November 1, 1908. Remy Lafort, S.T.D., Censor. Imprimatur. +John Cardinal Farley, Archbishop of New York).

Sasa kama mitume na wakristo wa zamani hawakufanya hayo unafikiri huko salama? Tazama hapo chini:-

“Subtly…the old gods had entered their churches…And they live still in the festivals of Christianity.”-(Testament: The Bible and History, Romer, 1988, pp. 230-31). Tafsiri-miungu ya zamani iliingia katika makanisa yao na bado inaishi kwenye sherehe za kikristo.

Rafiki hata kama utasema nakuhukumu tambua tu unafanya ibada ya sanamu katika sura ya kikristo. Na haupo katika amri ya kristo bali mapokeo ya wanadamu, kifupi unaabudu bure.

Nao waniabudu bure,Wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu, Marko 7:7. Krismasi si amri ya Mungu—ni mapokeo ya wanadamu. Kristo aliendelea, “Akawaambia, Vema! Mwaikataa amri ya Mungu mpate kuyashika mapokeo yenu” (Marko 7:9)

Sanamu zao ni fedha na dhahabu, Kazi ya mikono ya wanadamu. Zina vinywa lakini hazisemi, Zina macho lakini hazioni, Zina masikio lakini hazisikii, Zina pua lakini hazisikii harufu, Mikono lakini hazishiki, miguu lakini haziendi, Wala hazitoi sauti kwa koo zake. Wazifanyao watafanana nazo, Kila mmoja anayezitumainia. Zaburi 115:4-8

Fanya hima umrejee Yesu aliye hai aitwaye Kristo ili akupe toba na msamaha wa dhambi, na si huyu Yesu wa kutengeneza anayebebwa.
0065a93940be6bf30c0fbb33c4fd7052.jpg


Mungu akubarikie sana unapochukua hatua.
Habari mkuu.
Unayaamini yaliyoandikwa kwenye vitabu ulivyovinukuu? Mfano encyclopedia katoliki?
 
Habari mkuu.
Unayaamini yaliyoandikwa kwenye vitabu ulivyovinukuu? Mfano encyclopedia katoliki?
Kwann nisiyaamini ikiwa wao ndio waanzilishi wa x mass na HAKUNA USHAHID WA BIBLIA KUWA YESU aliamuru tusherehekee hii sikukuu ya kipagani
 
Kwann nisiyaamini ikiwa wao ndio waanzilishi wa x mass na HAKUNA USHAHID WA BIBLIA KUWA YESU aliamuru tusherehekee hii sikukuu ya kipagani
Kama unayaamini basi tutayajadili vizuri kwani kuna mambo mengi sana mkuu.
 
Kwann nisiyaamini ikiwa wao ndio waanzilishi wa x mass na HAKUNA USHAHID WA BIBLIA KUWA YESU aliamuru tusherehekee hii sikukuu ya kipagani
Yesu alizaliwa au hakuzaliwa? Na kama alizaliwa inakuumiza nini mimi au wewe kusherekea siku ya kuzaliwa kwake,Na upagani unaingiaje hapo? Wanaokataa kusherekea siku ya kuzaliwa Yesu ni mpagani kwa maana sisi ni mwokozi wetu
 
Kiuhalisia sherehe hii ilianza hivi,
Wayahudi walisherehekea 25/12 kuachiwa kwa mfalme wao yehoyakini (yeremia 52:31) kama siku kuu ya kuwekwa kwao huru, wakati huohuo wapagani walioabudu jua walisherehekea kuzaliwa kwa mtoto wa nimrod (mungu jua) aitwaye TAMUZ kila ifikapo hio tarehe.
Sherehe hizi ziliunganishwa pamoja pale mfalme Constantine wa Rumi alipoamua kukomesha mateso ya wakristo na kubatizwa kuwa mkristo ambapo walisema kwa vile mfalme wao alikua yesu hivyo waunganishe na mungu wao tamuz na kuiita misa ya kristo yani Christ Mass huku wakristo wakifahamu kinachoendelea na kushindwa kupinga mana mamlaka ya kiserikali ndio iliamua. Ila vizazi vilivyofuata havikufahamu chimbuko kwani ulikua utamaduni wa kila mwaka hadi Leo watu wameikuta krismasi na wanasherehekea bila maswali

Hizo quote za encyclopedia ya kikatoliki ni matamko halisi ya wakatoliki ili kustate mamlaka yao katika sikukuu hii

Kwa mwenye open mind ya kutaka kufahamu ukweli na sio kubisha Tu kitu wasichofahamu kilianzia wapi wasome kitabu cha Vance Farrel kiitwacho 'Christmas, Easter and Halloween'

NOTE: Mwanzo hadi ufunuo hakuna mahali panaposema kwenye bible kwamba yesu alizaliwa tarehe hiyo.

Miezi hii Kyle Bethlehem ni baridi Kali ambapo watu hujifungia ndani kwa sehemu kubwa na hata mifugo hulishiwa ndani kwa ndani, logically hawezi kuzaliwa kwenye hori LA ng'ombe katika mazingira hayo angekufa kwa baridi mana huwa inaanguka hata theluji.
Logically wale wachungaji waliotokewa na malaika wasingekuwa wanachunga nje kwenye baridi Kali usiku, logically alizaliwa mahira ya joto ambapo kwa huko ni around April hadi June
 
utasema hata kula pilau ni dhambi kwa kuwa yesu hakusema tule pilau,

kuna ubaya gani kwenye calender ya kanisa kuwa na Siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa mwokozi
 
Kiuhalisia sherehe hii ilianza hivi,
Wayahudi walisherehekea 25/12 kuachiwa kwa mfalme wao yehoyakini (yeremia 52:31) kama siku kuu ya kuwekwa kwao huru, wakati huohuo wapagani walioabudu jua walisherehekea kuzaliwa kwa mtoto wa nimrod (mungu jua) aitwaye TAMUZ kila ifikapo hio tarehe.
Sherehe hizi ziliunganishwa pamoja pale mfalme Constantine wa Rumi alipoamua kukomesha mateso ya wakristo na kubatizwa kuwa mkristo ambapo walisema kwa vile mfalme wao alikua yesu hivyo waunganishe na mungu wao tamuz na kuiita misa ya kristo yani Christ Mass huku wakristo wakifahamu kinachoendelea na kushindwa kupinga mana mamlaka ya kiserikali ndio iliamua. Ila vizazi vilivyofuata havikufahamu chimbuko kwani ulikua utamaduni wa kila mwaka hadi Leo watu wameikuta krismasi na wanasherehekea bila maswali

Hizo quote za encyclopedia ya kikatoliki ni matamko halisi ya wakatoliki ili kustate mamlaka yao katika sikukuu hii

Kwa mwenye open mind ya kutaka kufahamu ukweli na sio kubisha Tu kitu wasichofahamu kilianzia wapi wasome kitabu cha Vance Farrel kiitwacho 'Christmas, Easter and Halloween'

NOTE: Mwanzo hadi ufunuo hakuna mahali panaposema kwenye bible kwamba yesu alizaliwa tarehe hiyo.

Miezi hii Kyle Bethlehem ni baridi Kali ambapo watu hujifungia ndani kwa sehemu kubwa na hata mifugo hulishiwa ndani kwa ndani, logically hawezi kuzaliwa kwenye hori LA ng'ombe katika mazingira hayo angekufa kwa baridi mana huwa inaanguka hata theluji.
Logically wale wachungaji waliotokewa na malaika wasingekuwa wanachunga nje kwenye baridi Kali usiku, logically alizaliwa mahira ya joto ambapo kwa huko ni around April hadi June
Tatizo lenu mmekariri yaleyale, kila anayejisema anafahamu anaishia kwenye maelezo yaleyale. Fuatilia thread zilizoanzishwa Jana zote maelezo ni yaleyale,.

Hebu jaribu wewe mwenyewe kusoma hivyo vyanzo vya taarifa kimoja baada ya kingine halafu urudi ili tujadiliane
 
*CHRISTMAS - SOMETHING YOU SHOULD KNOW ABOUT THE CHRISTMAS AND EASTER CELEBRATIONS........*

Did you know that Christmas was celebrated thousands of years before Jesus was even born?

Although the whole world is celebrating Christmas as a Christian holiday, including millions of those who do not believe in Jesus, please take some of your precious time to look throughout every page of the Bible, at the end, you will not find even a single word of Christmas being celebrated by any of God's people!

It is not even mentioned once in the
whole Bible, neither by Jesus nor by any of his apostles before or after the death of Jesus.

Yet on the other hand the pagans and the heathen world observed 25th December for two thousands years before Jesus was even born! December 25 was a date to celebrate the birth of the Sun god Tammuz.

Tammuz was the child of Nimrod the man we read about in Gen 10:8-10, Nimrod was very wicked King before the Lord and he was the first great King of Babylon. After he defeated many nations and conquered them Nimrod claimed to be greater than the Supreme God. He commanded the whole empire to worship him as a god.

After the death of Nimrod Queen Ishtar
commanded the whole empire to worship Nimrod as Baal the Sun god.

Ishtar proclaimed that Nimrod was taken to the Sun, and he had to be
worshipped as the Sun god.

Tammuz was the only child of Nimrod, and he was born on 25th December: Tammuz was a great king who always
defeated his enemies. However, he was just like his father Nimrod in doing great evil before the Lord.

Tammuz was killed by bush pigs and after his death Queen Ishtar commanded that Tammuz had to
be worshipped as the child of the god Baal who was Nimrod.

From that time in history, it was Queen Ishtar who built a strong foundation of paganism which spread across the whole world that December 25th was to celebrate the birth of Tammuz, the child of the god of Baal.

Thus, in paganism worshippers are worshipping Nimrod, Queen Ishtar and Tammuz.

Nimrod from that time was to be honored every Sunday as the Sun god Baal, Queen Ishtar on Easter (the word Ishtar is where the word Easter comes from) and Tammuz was to be worshipped on 25 December;

These are the three great holidays that were set aside to celebrate these three people who showed great wickedness before the Lord.

Indeed, Christmas was celebrated thousands of years before Jesus was even born. During Christmas, One of
their customs was to decorate a tree.

(Jeremiah 10:3-4) in this chapter God is telling us not to learn the way of the heathens, and not to even practice it.

For God condemns all customs of the heathens. Yet we see these same customs exist today and the holiday is now called Christmas with the Christmas tree.

The Scriptures describe these Christmas celebration as idolatry! Some claim that this chapter of Jeremiah 10:3-4 refers to idols being made from the trees: this maybe true, but does God approve of trees being used to worship Him? Is there a command in the Scriptures allowing us to do so?

The answer is very simple, NO! Isaiah 40:19, 41:23) 45:20, 46:17, Psalm 115:4-7, Habakkuk 2:19). December 25 is always a Sun Baal worship holiday because of the birth of Tammuz one of the Sun gods.

On the Christmas tree you find people put the Sun, moon or the Star on top their Christmas tree!

Some people will say that the Star on the tree represent the Star which appeared when Jesus was born, but where does the Scriptures approve of such things?

Some people place an angel on their Christmas trees and claims that this is fine, Oh, let us see what Bible is teaching us; 2 Corinth 11:14 for Satan Himself is transformed into an angel of light.

Putting an angel on the Christmas trees is synonymous with placing a star on top of the tree, because both images represents light, or the Sun.

But many people claim that the angel they place on the Christmas trees is a heavenly one; Exodus 20:4 says that thou shall not make into thee any graven image, or any likeness of anything that is in heaven above.

Angels are in heaven above, and God forbids having images of anything that's in heaven above for the purpose of worship.

Heathens hate God's commandments because they want to worship their own gods without anyone condeming them with the word of the Supreme God.

Under Rome, December 25 was always a date to celebrate the birth of the Sun god. in A.D 324, for the first time
under the Roman Emperor Justinian (A.D-527-565) it was first recognized as an official Christian holiday.

An old Babylonian festival played a major part in the choice of this particular day.


Sunday worship, Christmas and Easter: these three have nothing to do with Jesus, but much to do with paganism religion that was put into Christianity by the Roman Catholic under the authority of Satan.

Place all these festivals to the test of the Scripture, if you are faithful to the truth and you able to see that they have nothing to do with Our Lord Jesus.

There is no doubt we are living in the last days, where Satan is very desperate to control every aspect of religion in order to be worshipped by ignorant people who did not center their faith in the God's
Jesus is not honored through paganist ways of worship, but He is only honored in obedience to God's commandments. This is the time for us to be separated with the world, (James 2:4)

Then I heard another voice from heaven saying, Come out, my people! Come out from her, (Rev 18:4).


So dear reader, are the present day Christians the true followers of Jesus Christ? Or are they pagans worshipping Satan and Satan's deceptions?

*May Almighty God Guide every human being to the straight path......*
 
utasema hata kula pilau ni dhambi kwa kuwa yesu hakusema tule pilau,

kuna ubaya gani kwenye calender ya kanisa kuwa na Siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa mwokozi
Ni kweli vitu vingine mtu inabidi uongozwe na roho mtakatifu.
 
Kinachoniuma tu siku hizi siku za siku kuu ndio maovu mengi yanafanyika badala ya kujitakasa.
 
Akili zako fupi sana!!.....Kusherekea birthday/siku ya kuzaliwa ya mtu ina maana huyo mtu amekuwa mtoto??
Anakukumbusha sifa za MUNGU, hakuzaa wala hakuzaliwa,, wala hafanani na yeyote ,,MUNGU huyo amezaliwa,,anakula,,analala,,anapigwa makofi hadi kuning'inizwa msalabani
 
Hivi Yesu alipokuwa tumboni mwa mama yake Mariam je Mungu wa Mariam alikuwa nani?
 
Back
Top Bottom