magorsabibu
Member
- Mar 23, 2018
- 10
- 5
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu ,Nina mdogon wangu ameomba mkopo tangu mwishoni mwa November mwaka Jana mpaka Leo ni miezi 4 hajapewa mkopo.
Makao makuu CRDB wameshapitisha huo mkopo kwamba apewe (wame approve) hyo approval INA zaidi ya mwez lakin bado pale branch wanamzingua Mara ooh form ulizojaza ni za version ya zaman, sababu nyingi hazieleweki.
Hivi kweli mtu unafuatilia mkopo wa hela ndogo tu miezi minne kama hamtaki kumpa Mteja hela si mngemwambia tu aende taasisi nyingine.sisi ni wateja wenu jamani haiwezekani mkopo umepitishwa halafu bado mnamzungisha mtu kiasi hicho.
Nimeamua kutoa malalamiko haya kwa sababu miaka 2 nyuma nimeshawahi kufuatilia mkopo pale UDSM branch kunitembelea tu ilichukua mwezi mmoja na nusu nawabembeleza waje wanitembelee nilivyoona wanazingua nikaachana nao.
Sababu mliyompa sasa hivi ni kuwa mnasubiri document itoke mkoani imetumwa kwa EMS TANGU tar 15 march hv kweli EMS hapa Tanzania inachukua zaidi ya wiki kweli, meneja ujumbe huu ukufikie uufanyie kazi pamoja na mkurugenz WA mikopo
Makao makuu CRDB wameshapitisha huo mkopo kwamba apewe (wame approve) hyo approval INA zaidi ya mwez lakin bado pale branch wanamzingua Mara ooh form ulizojaza ni za version ya zaman, sababu nyingi hazieleweki.
Hivi kweli mtu unafuatilia mkopo wa hela ndogo tu miezi minne kama hamtaki kumpa Mteja hela si mngemwambia tu aende taasisi nyingine.sisi ni wateja wenu jamani haiwezekani mkopo umepitishwa halafu bado mnamzungisha mtu kiasi hicho.
Nimeamua kutoa malalamiko haya kwa sababu miaka 2 nyuma nimeshawahi kufuatilia mkopo pale UDSM branch kunitembelea tu ilichukua mwezi mmoja na nusu nawabembeleza waje wanitembelee nilivyoona wanazingua nikaachana nao.
Sababu mliyompa sasa hivi ni kuwa mnasubiri document itoke mkoani imetumwa kwa EMS TANGU tar 15 march hv kweli EMS hapa Tanzania inachukua zaidi ya wiki kweli, meneja ujumbe huu ukufikie uufanyie kazi pamoja na mkurugenz WA mikopo
