Paragumu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 326
- 142
Crdb benki sisi ni wateja wenu na mnajua kabisa bila sisi wateja mambo yenu yatakwama, sasa hapa Kaliua hali ni tete hususani kwenye utoaji huduma.
Mfano ni leo tarehe 05.06.2023 hapa tawini kuna wateja wengi hasa kutokana na wananchi wengi kulipwa malipo yao ya fedha za tumbaku sasa chakusikitisha wateja tumejazana hapa kwenye foleni Teller yuko mmoja tuu. Tunaomba mrekebishe hii hali maana muda mwingi tunautumia hapa.
Kuna wazee, wamama, watu wenye ulemavu wote tumejazana hapa ni kama hamjali vile boresheni huduma wananchi tunapata taabu hapa Uongozi wa CRDB tusaidieni hili ni haki yetu kuhudumiwa kwa wakati na kuondoka kwenda kwenye majukumu mengine.
Mfano ni leo tarehe 05.06.2023 hapa tawini kuna wateja wengi hasa kutokana na wananchi wengi kulipwa malipo yao ya fedha za tumbaku sasa chakusikitisha wateja tumejazana hapa kwenye foleni Teller yuko mmoja tuu. Tunaomba mrekebishe hii hali maana muda mwingi tunautumia hapa.
Kuna wazee, wamama, watu wenye ulemavu wote tumejazana hapa ni kama hamjali vile boresheni huduma wananchi tunapata taabu hapa Uongozi wa CRDB tusaidieni hili ni haki yetu kuhudumiwa kwa wakati na kuondoka kwenda kwenye majukumu mengine.