CRDB rudisha hela za wateja

CRDB rudisha hela za wateja

Camilo_Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
11,378
Reaction score
15,384
Wateja wote wa CRDB waliofanya transfer kwa kutumia Simbanking siku ya Jumpili 17.11.2019 hela zao zimezuiliwa. Kila wakipigiwa simu wanasema subiri. Hawajui extent ya usumbufu waliowasababishia wateja. Usumbufu wa aina hii katika hii benki umekuwa kawaida. Kungekuwepo regulatory authority ya bank, hawa jamaa wangechukuliwa hatua.
 
Wateja wote wa CRDB waliofanya transfer kwa kutumia simbanking siku ya Juma pili 17.11.2019 hela yao zimezuiliwa. Kila wakipigiwa simu wanasema subiri. Hawajui extent ya usumbufu waliowasababishia wateja. usumbufu wa aina hii katika hii benki umekuwa kawaida. Kungekuwepo regulatory authority ya bank, hawa jamaa wangechukuliwa hatua
CRDB washawahi niliza 20,000 naenda atm et pesa hakuna dah
 
Daaah mie ishawahi kunitokea kama hii mkuu afu ilikuwa pesa ndefu kama 800k nikawapigia nikaambiwa hivyo hivyo subiri na nilkiwa nasafiri kwenda nje kidogo daaah!! Kuja kurudi nikaambiwa ilirejeshwa lakini nikichunguza naona oolaah!! Na tatzo nilikuwa na miamala mingi mingi sana!! Ila nahisi nilipigwa kabisa.
 
Wateja wote wa CRDB waliofanya transfer kwa kutumia Simbanking siku ya Jumpili 17.11.2019 hela zao zimezuiliwa. Kila wakipigiwa simu wanasema subiri. Hawajui extent ya usumbufu waliowasababishia wateja. Usumbufu wa aina hii katika hii benki umekuwa kawaida. Kungekuwepo regulatory authority ya bank, hawa jamaa wangechukuliwa hatua.

BOT is a regulatory authority ya bank zote hapa TZ
 
hata mm imenitokea sana watu mifumo wanazembea mahali fflani ukienda bank unajazishwa mafomu usumbufu tupu
 
CRDB wamemletea umaskini dingi yangu!sina hata la kuwafanya!shenzy sana!bora yenu nyie ..yy kapigwa14m within one week!hajapata msaada!hata mtani wangu@E.Mselewa kashindwa nisaidia😇😇!
 
Mm hapa mafundi wanataka kunitoa roho,ni hela ndefu kidogo nimehamisha na ndio ili kuwa balance yangu. Bado mafundi wanaona kama nataka kuwarusha
 
Daaah Mimi siwaelewi kabisa nimeamisha pesa kwenda halopesa ila pesa haijaingia wala nini na balance kule wamekata duuuh
 
Mimi niliwavaa juzi....nilisumbua a nao sana....mpaka kikaeleweka
 
Back
Top Bottom