Mimi ni mteja wa CRDB. Awali mshahara ulikuwa unaingia kati ya tarehe 28 na 30 ya kila mwezi. Kwa muda mrefu sasa mshahara unachelewa kuingia hadi tarehe 4 hadi 15 ya mwezi. Wakati huo wenzetu wanaopitishia NMB huwa wanapata tarehe 26-28 ya mwezi. Kuna nini? Naomba mrekebishe hali hii tusije tukawahama.