CRDB Kariakoo ni kero

CRDB Kariakoo ni kero

mauki barakuda

Senior Member
Joined
Apr 17, 2015
Posts
126
Reaction score
31
Kuna hawa wadada dirisha namba 1 na 2 ni kero. Wanawarudisha wateja then wanachati tu.Mbaya zaidi kuna watu wao ambao wanawaita kwa majina ili wawahudumie na kuwaacha wateja wengine wakiwa wamesimama kwa muda mrefu.

Jirekebisheni haraka!
 
Pia mlinzi anayeruhusu wateja kuingia ndani crdb kinondoni manispaa ni kero. Anavuta buku 5 na kutuhusu wengine zamu zenu majaliwa. Waweza ukawa wa 10 ktk no. But ukahudumiwa wa 40. Ni kero kubwa
 
Back
Top Bottom