mauki barakuda
Senior Member
- Apr 17, 2015
- 126
- 31
Kuna hawa wadada dirisha namba 1 na 2 ni kero. Wanawarudisha wateja then wanachati tu.Mbaya zaidi kuna watu wao ambao wanawaita kwa majina ili wawahudumie na kuwaacha wateja wengine wakiwa wamesimama kwa muda mrefu.
Jirekebisheni haraka!
Jirekebisheni haraka!