Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Kuna watanzania wamejaa upumbavu hadi shetani anawashangaa!!
Hao ni mazombie wa Tanzania wanaoabudu ibada ya malaika wao mkuu na katili aliyeko Ikulu ya magogoni...!
Kuna watanzania wamejaa upumbavu hadi shetani anawashangaa!!
hawajatoa proof yeyote kuwa kaonewa.
KUNA VITABU VIWILI VIRUDISHWE SHULENI
NCHI YA KUSADIKIKA
MFALME JUHA
Sent using Jamii Forums mobile app