Course za Kada ya Afya

Course za Kada ya Afya

Mello

Senior Member
Joined
May 7, 2017
Posts
110
Reaction score
207
Kijana wangu wa Kike Ana D- 5, C- 2 na F ya Math na Physics. Naomba Kujua Ni Kozi gani Anaweza Kusoma Maana Ana D ya chemistry na Biology. Na Ni Chuo gani Hapa Dar anaweza Kusoma kwa Ada Nafuu.
 
Phamacy
Kijana wangu wa Kike Ana D- 5, C- 2 na F ya Math na Physics. Naomba Kujua Ni Kozi gani Anaweza Kusoma Maana Ana D ya chemistry na Biology. Na Ni Chuo gani Hapa Dar anaweza Kusoma kwa Ada Nafuu.
 
Kijana wangu wa Kike Ana D- 5, C- 2 na F ya Math na Physics. Naomba Kujua Ni Kozi gani Anaweza Kusoma Maana Ana D ya chemistry na Biology. Na Ni Chuo gani Hapa Dar anaweza Kusoma kwa Ada Nafuu.
Mkuu, hakuna kozi ya afya atapata kwa sheria zilizopo.
Labda Kama atasomea kufanya usafi au kuuza dawa.(ado)
 
Write your reply...Vip ukiwa na D ya Chemistry na Biology then una C ya English na B na Kiswahil vip kuna Course yoyote ya Afya unaweza ukapata kwenye vyuo vya Private ??? plz msaada wadau
 
Mie mdogo wangu form six.
Amepata D ya Geograph, E ya Chemistry, E ya Biology.
Kwa form four masomo yote kafaulu kasoro Math kapiga F.
Naomba kujua course ya Diploma za Afya anazoweza kusoma kwa ngazi ya Diploma.
Je Aplication ipi ni nzur zaid ya kuomba Chuo.
A) kuapply online Nacte
B) kuapply chuon moja kwa moja
Mwenye uzoefu na hili anisaidie
Kijana wangu wa Kike Ana D- 5, C- 2 na F ya Math na Physics. Naomba Kujua Ni Kozi gani Anaweza Kusoma Maana Ana D ya chemistry na Biology. Na Ni Chuo gani Hapa Dar anaweza Kusoma kwa Ada Nafuu.
 
Mie mdogo wangu form six.
Amepata D ya Geograph, E ya Chemistry, E ya Biology.
Kwa form four masomo yote kafaulu kasoro Math kapiga F.
Naomba kujua course ya Diploma za Afya anazoweza kusoma kwa ngazi ya Diploma.
Je Aplication ipi ni nzur zaid ya kuomba Chuo.
A) kuapply online Nacte
B) kuapply chuon moja kwa moja
Mwenye uzoefu na hili anisaidie
Anataka aombe government au private?
 
Mie mdogo wangu form six.
Amepata D ya Geograph, E ya Chemistry, E ya Biology.
Kwa form four masomo yote kafaulu kasoro Math kapiga F.
Naomba kujua course ya Diploma za Afya anazoweza kusoma kwa ngazi ya Diploma.
Je Aplication ipi ni nzur zaid ya kuomba Chuo.
A) kuapply online Nacte
B) kuapply chuon moja kwa moja
Mwenye uzoefu na hili anisaidie
Je Alisoma physics O level na kama ndio alipata alama zipi, ikiwa hakusoma physics Sahau kozi ya afya
Advance hawaangalii sana
 
Mie mdogo wangu form six.
Amepata D ya Geograph, E ya Chemistry, E ya Biology.
Kwa form four masomo yote kafaulu kasoro Math kapiga F.
Naomba kujua course ya Diploma za Afya anazoweza kusoma kwa ngazi ya Diploma.
Je Aplication ipi ni nzur zaid ya kuomba Chuo.
A) kuapply online Nacte
B) kuapply chuon moja kwa moja
Mwenye uzoefu na hili anisaidie
clinical medicine CO
 
Je Alisoma physics O level na kama ndio alipata alama zipi, ikiwa hakusoma physics Sahau kozi ya afya
Advance hawaangalii sana
Vp mkuu sasa wanataka sifa zipi kada ya afya ?
 
nina D biology, B chemistry na C physics,C maths,C English na C zote zilizobaki kasoro Geography nina D.. nimemaliza form four 2006 naweza kupata nursing government wadau?
 
nina D biology, B chemistry na C physics,C maths,C English na C zote zilizobaki kasoro Geography nina D.. nimemaliza form four 2006 naweza kupata nursing government wadau?
Duh 2006 mkuu si ushaota mvi saivi
 
Kwa kozi za afya siku hizi wanataka ufaulu uanzie D kwenye physics na math pia
 
Kama huna/ hana

Physics -D
Chemistry- D
Biology- D

Usijaribu/asijaribu hata kulipa shilingi kumi ya ada ya maombi ya usaili NACTE.
 
Naomba nisaidie linki mkuu niangalie qualification zao kama hutojali mkuu
Math na English ni nyongeza tu katika vigezo vya kupewa kipaumbele katika usaili (uwe umepata angalau D) ila kiufupi haziathiri VIGEZO MUHIMU ambavyo ni (phy,chem,B)-D
 
Back
Top Bottom