Course nzuri kwa mchepuo wa HGE?

Course nzuri kwa mchepuo wa HGE?

Joined
Dec 8, 2017
Posts
19
Reaction score
2
Samahani...nauliza course gani nzuri unayoweza kunishauri kusoma chuo Kwa mchepuo wa HGE na ili nisiweze kupata tabu kwenye ajira
 
Bachelor of art in economic (BAE) ,,,

Bsc ANEB

BA economic and statistics,

BA education

BAF
 
Samahani...nauliza course gani nzuri unayoweza kunishauri kusoma chuo Kwa mchepuo wa HGE na ili nisiweze kupata tabu kwenye ajira
Ajira ni connection tuu,,, na ufanisi wako,,, kuwa mahili na kitu ulichosomea ,,la sivyo utapata tabuu sana hata usome koz gan
 
Course nzuri ni Kujiajiri tu ili usije pata tabu ya ajira. Kama unataka kuendelea kusoma nenda na BAF kama akili bado zimo
 
Toa hilo neno ajira hapo. Hamna kozi yenye uhakika wa ajira kipindi hiki hata MD tupo nao mtaani.
Kwa HGE Agricultural economics and agribusiness ni nzuri . Inakupa added value ya tofauti na wale wanaopiga economics ya kawaida
 
Kasome Taxation kuna jamaa yangu alisoma hiyo sasahivi yupo TRA anakula maisha.
 
kwahyo unamshaur akasome tax eti kisa jamaa ako alisoma!...its dumb
Nimemshauri kwasababu hiyo coz inatolewa na vyuo viwili tu hapa Tanzania na demand yake ni kubwa isitoshe anaweza kujiajiri mwenyewe akapiga mpunga wa maana. Nazani umenielewa mkuu.
 
Nimemshauri kwasababu hiyo coz inatolewa na vyuo viwili tu hapa Tanzania na demand yake ni kubwa isitoshe anaweza kujiajiri mwenyewe akapiga mpunga wa maana. Nazani umenielewa mkuu.

Ila bro naona hujakosea sana...kuhusu tax...hata kina bro Wang nae alisoma hiyo hakukaa sana nyumbani....ila naomaba ushairi...Kina MTU ameniambia KUSOMA BUSINESS ADMINISTRATION NI NZURI ZAID NA kudai kwamba Tax inakua ndani take...embu Nile muongozo kdgo kuhusu hizi coz mbili
 
kwahyo unamshaur akasome tax eti kisa jamaa ako alisoma!...its dumb


Kaka embu nieleze Kwa upande wako ..IPI in coz inayofaa...na unaweza kuniambia vipi kuhusiana na BUSINESS ADMIBISTRATION NA BUSINESS MANAGEMENT ZOTE NI SAWA...
 
Toa hilo neno ajira hapo. Hamna kozi yenye uhakika wa ajira kipindi hiki hata MD tupo nao mtaani.
Kwa HGE Agricultural economics and agribusiness ni nzuri . Inakupa added value ya tofauti na wale wanaopiga economics ya kawaida


Brother naomba unisaidie kitu ....tofauti ya economic na finance mini?? Mbona nmeambiwa hkuna coz inayoiywa economic..Bali fiance inapokomaa ( masters) ndo hubadlishwa tu jina na kuitwa economic...kuna ukwel ndani take?
 
Back
Top Bottom