ushahd
Senior Member
- Jul 30, 2019
- 176
- 104
Habari zenu wana jamii forum,samahan nimechaguliwa katika round ya nne ya application na nimepata vyuo vitatu sijaconfirm naomba ushauri wenu kozi ipi kati ya hizi inaweza kufaa zaidi kwa upande wa ajira
1.Bachelor science in Business communication and information technology chuo MOCU
2.Bachelor of procument and logistics management Chuo IAA
3.bachelor of Arts in project planning and management chuo Mwenge
Naombeni ushauri niconfirm course ipi kati ya hizo yenye fursa za ajila
1.Bachelor science in Business communication and information technology chuo MOCU
2.Bachelor of procument and logistics management Chuo IAA
3.bachelor of Arts in project planning and management chuo Mwenge
Naombeni ushauri niconfirm course ipi kati ya hizo yenye fursa za ajila