It almost 2 weeks since we were told by Mh Ngeleja on Feb 18, 2009 that Kiwira's report is ready to be released. I am very surprised with this long delay and it's my hope that Kiwira's report will be released very soon as promised by Mh Ngeleja.
Mi nazani tatizo liko kwa wabunge wetu. Katika issue ambazo wabunge walitakiwa kujadili katika kikao cha mwisho (january) ni kiwira lakini cha kushangaza wakaingiza issue ya Laurence masha na kusababisha Kiwira kubaki hewani. Wabunge wanatakiwa kuwa na msimamo kwa ajili ya maslahi ya Taifa. Tusubiri Kikao cha mwezi wa nne tuone hiyo issue kama itajadiliwa na tunaambiwa kuwa mwekezaji kiwira kaingia mitini.
It almost 2 weeks since we were told by Mh Ngeleja on Feb 18, 2009 that Kiwira's report is ready to be released. I am very surprised with this long delay and it's my hope that Kiwira's report will be released very soon as promised by Mh Ngeleja.
Kama aliahidi mwenyewe, tena anasubiri aulizwe. Lakini ndio tunavyokwenda, kwa kuwa upepo uligeuka ukawa kwa mitambo ya Dowans, anakaa kmya kuhusu Kiwira. Ikianza tena kelele ya Kiwira atasema tena ripoti iko tayari. Wanakwenda kwa shinikizo.
Kama aliahidi mwenyewe, tena anasubiri aulizwe. Lakini ndio tunavyokwenda, kwa kuwa upepo uligeuka ukawa kwa mitambo ya Dowans, anakaa kmya kuhusu Kiwira. Ikianza tena kelele ya Kiwira atasema tena ripoti iko tayari. Wanakwenda kwa shinikizo.
Hii inaonyesha ni jinsi gani Ngeleja alivyoelemewa na Wizara ya Nishati. Bahati mbaya Boss wake naye kuendesha nchi kumuelemea kilichobaki ni kufanya usanii tu.