CORONA INA NINI TZ?

CORONA INA NINI TZ?

VPN USED2020OCTOBER28

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
1,505
Reaction score
676
mwanzo kabisa meko alituambia tujifukize kabla ya hii alituambie tuliombee taifa kwa day 3

akaja ja4 akatuambia tupige nyungu

meko pia akatuambia tusitishwe wala tusiwe na hofu

jana akasema atatuma ndege iende madaska kuchukua dawa



kwa kauli hizo inaonesha meko hana uhakika na anachokisema... maana hajatoa clarification kuwa #kujifukiza ni dawa ya korona pia ja4 hajatoa clarification kuwa ukipiga nyungu ni dawa ama la.... watu wamepigishwa nyunguu weeee wamejifukiza weee kumbe mambo ni bilabila!!


akili za kuambiwa changanya na za kwako
 
mwanzo kabisa meko alituambia tujifukize kabla ya hii alituambie tuliombee taifa kwa day 3

akaja ja4 akatuambia tupige nyungu

meko pia akatuambia tusitishwe wala tusiwe na hofu

jana akasema atatuma ndege iende madaska kuchukua dawa



kwa kauli hizo inaonesha meko hana uhakika na anachokisema... maana hajatoa clarification kuwa #kujifukiza ni dawa ya korona pia ja4 hajatoa clarification kuwa ukipiga nyungu ni dawa ama la.... watu wamepigishwa nyunguu weeee wamejifukiza weee kumbe mambo ni bilabila!!


akili za kuambiwa changanya na za kwako
Ndo kwanza watu wanaondoka na nyungu zao
 
Leo Aljazeera walionesha ndege za Guinea Bissau zinamaliza dawa zote Madagascar , jamaa wameshachukua za kutosha! ni dawa za mitishamba hazina madhara, nyie endeleeni kuponda tu dawa zinaisha huko madagasca zitabaki Remsdevir za Trump za kuua kizazi!!
 
Leo Aljazeera walionesha ndege za Guinea Bissau zinamaliza dawa zote Madagascar , jamaa wameshachukua za kutosha! ni dawa za mitishamba hazina madhara, nyie endeleeni kuponda tu dawa zinaisha huko madagasca zitabaki Remsdevir za Trump za kuua kizazi!!
vipi kupiga nyungu au kujifukiza siyo dawa mzee?
 
Mi katika hizo kauli zake naona Ni mapambano ya kuondosha korona.. I mean hajalala yupo update akisikia hili kashika ila hapendi lockdown mzee wa watu😂🤣
 
Tutalaumiana bure,lakini tunaosoma biblia tumeshajua kuwa asubuhi imeisha,mchana umeisha,jioni ndio hiyo inapotea.hizi wapendwa ni nyakati za mwisho.Muda huu ni muda wa kumtafuta Mungu sana.
 
Leo Aljazeera walionesha ndege za Guinea Bissau zinamaliza dawa zote Madagascar , jamaa wameshachukua za kutosha! ni dawa za mitishamba hazina madhara, nyie endeleeni kuponda tu dawa zinaisha huko madagasca zitabaki Remsdevir za Trump za kuua kizazi!!
Hizo dawa za mitishamba na hapa Tanzania zipo, muulize Melo anaujua "OMUSHUNSHU'!
 
Tutalaumiana bure,lakini tunaosoma biblia tumeshajua kuwa asubuhi imeisha,mchana umeisha,jioni ndio hiyo inapotea.hizi wapendwa ni nyakati za mwisho.Muda huu ni muda wa kumtafuta Mungu sana.
Hata miaka ya 80 muliuza kila kitu mpaka leo YESU hajaja!
 
Tutalaumiana bure,lakini tunaosoma biblia tumeshajua kuwa asubuhi imeisha,mchana umeisha,jioni ndio hiyo inapotea.hizi wapendwa ni nyakati za mwisho.Muda huu ni muda wa kumtafuta Mungu sana.
Sasa kwanini huyo mungu anajificha mazee?
Au ni kombolela mchezo wa kujificha?
 
Hata miaka ya 80 muliuza kila kitu mpaka leo YESU hajaja!
Hata nyakati za Nuhu walikuwepo watu kama ninyi!

Nuhu aliwaonya na kuwaonya lkn aaah wapi, ilichukua miaka 40 Nuhu akiwa anaimba wimbo huohuo ambao kuwa Mungu ataiangamiza Dunia, walimdhihaki na kumcheka Wakati yeye akiendelea kuijenga safina

Na hata sasa sio ajabu kwako na Kwa wengi Sana ambao ni lazina watapinga na pengine kutoa maneno ya dhihaka, Kwa sababu walikuwepo na wataendelea kuwepo, Ila hakumkatisha tamaa Nuhu kuwaambia watu ukweli, na hata wewe unachopaswa kufanya ni kutubu na kumrudia Mungu wako aliyefanya kiwanda cha miujiza cha Damu mwilini mwako, ambapo Dunia nzima hajiawahi kutenfeneza kiwanda hicho na hatakuja kufanya hivyo
 
Leo Aljazeera walionesha ndege za Guinea Bissau zinamaliza dawa zote Madagascar , jamaa wameshachukua za kutosha! ni dawa za mitishamba hazina madhara, nyie endeleeni kuponda tu dawa zinaisha huko madagasca zitabaki Remsdevir za Trump za kuua kizazi!!
Iyo miti hata Tz tunayo. Tunahitaji formula tujitengenezee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutalaumiana bure,lakini tunaosoma biblia tumeshajua kuwa asubuhi imeisha,mchana umeisha,jioni ndio hiyo inapotea.hizi wapendwa ni nyakati za mwisho.Muda huu ni muda wa kumtafuta Mungu sana.
Nawashangaa wanaotaka kuwafuata waganga wa madagascar na ndumba zao. Ina maana yule Mungu waliyesema tumwombe kwa siku tatu mfululizo kafa? Hii ni dhihaka kwa Mungu aliye hai ambaye hapendi michanganyo
 
Back
Top Bottom