luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Go Kenya.
Tegemea mabaya kuliko Yale toka kwa Wakenya, Mimi ninawajua vizuri sana kwahiyo sikishangaa walipokua wakifanya vile. Hivi kwanini unadhani wanauana na nchi yao ni miongoni mwa nchi hatari zaidi duniani? Hawa jamaa ni makatili na wana roho ngumu na mbaya kuzidi nyoka, kamwe usikosee ukamkatibisha mkenya katika maisha yako.Waliendesha campaign ya matusi na udhalilishaji kitaifa kwa Magufuli, walikuwa wanaweka pictures za vitu vya ajabu na Magufuli huko twitter.com na kuzipambanisha na Magufuli intellectually kwa kweli ni kipindi nilitokea kuwachukia wakenya vibaya mno na walikuwa wakishangilia sana zile video fake za ebola huko DRC zilikuwa zikitumika na nyumbu kuaminisha watu kama ni Corona
Yaani hii mijitu ni ya hovyo kupita maelezo na ndio maana yana lots of shortcomings kwenye nchi yao
Wazungu wamewaharibu akili zao sana hao nyang'au. Itawachukua miaka mingi kugundua ulimbukeni wao.Hawa jamaa wana wivu sana na roho mbaya hasa kwa Tanzania, wanaumia sana wakisikia dunia inasifia Tanzania na kumsifu Magufuli, watajitahidi kutafuta kila njia kuhakikisha wanaifedhehesha na kuidhalilisha Tanzania, hawa ni sawa na wanyama wa porini, hawastahili kuwaonea huruma wakifikwa na majanga yoyote Yale.
Wewe inaonekana ni sycophant wa sisiemu zaidi.Wanaona Ainu,yaani nakumbuka Magu alipotuambia tufunge na kuomba vile wakenya walivyomtukana,wakasambaza hizo taarifa duniani, niliona aibu na kujisikia vibaya sana. Yaani Mungu amemuinua kwa wakenya Rais wetu. Kweli ukimtegemea Mungu, hautaibika milele. GOD BLESS TANZANIA.
Hivi Tony254 unajisikiaje baada ya kampeni kubwa mliyoifanya ya kumchafua Magufuli na Tanzania kwa ujumla, na sasa hivi mambo yamekwenda kinyume kabisa na mategemeo yenu?Wewe inaonekana ni sycophant wa sisiemu zaidi.
Wakenya wa kawaida hawamfikirii Magufuli kabisa. Wana mambo mengi ya kufikiria.Hivi Tony254 unajisikiaje baada ya kampeni kubwa mliyoifanya ya kumchafua Magufuli na Tanzania kwa ujumla, na sasa hivi mambo yamekwenda kinyume kabisa na mategemeo yenu?